Taarifa za Wapalestina zinasema kuwa jeshi la Israel halikumkomboa Farhan Al-Qadi, bali aliachiliwa huru na Hamas na kutekwa kimakosa.

Kama ni kweli basi Hamasi wanapigana na Israel kwa sababu za kidini siyo kutaka nchi yao, it means wameshikilia mateka wa dini zote isipokuwa waislam? Kama ni hivyo litakuwa ni kusa kubwa kwa hamas
Umelijua hilo leo?Wenzio wanaitana ma shaheed kwa kila anayewahishwa kwa mabikra.
Ukifa shahidi manake umekufa ukipigania dini.
 
Maanay
Taqiyya ni kusema uongo kwa manufaa ya dini
Taqiya ni kile kiti cha farasi au ngamia. Hukioni mpaka aliekikalia anyanyue makalio yake na farasi au ngamia alale chini.

Ni msemo unaotumika kwa ulichofichwa. Uongo ni "kidhib" muongo ni "kidhab" ndipo unapopata msemo wa Kiswahili maarufu, "kizabi zabina".

Upo hapo ulipo?
 
Maanay
Taqiyya ni kusema uongo kwa manufaa ya dini
Taqiya ni kile kiti cha farasi au ngamia. Hukioni mpaka aliekikalia anyanyue makalio yake na farasi au ngamia alale chini.

Ni msemo unaotumika kwa ulichofichwa. Uongo ni "kidhib" muongo ni "kidhab" ndipo unapopata msemo wa Kiswahili maarufu, "kizabi zabina".

Upo hapo ulipo?
 
Tofautisha kati ya neno Taqiya na Taqiyyah
 
Ni kitu kisichiwezekana kabisa!
Kwani magaidi wanapoua watu wanaangalia hayo?
Huyu magaidi walizidiwa akakombolewa
 
Kama ni kweli basi Hamasi wanapigana na Israel kwa sababu za kidini siyo kutaka nchi yao, it means wameshikilia mateka wa dini zote isipokuwa waislam? Kama ni hivyo litakuwa ni kusa kubwa kwa hamas
Huyo ni mzee .au umri ujaona ndio sababu ya kumuacha we umekimbilia dini .
Mbona wakristo wa Israel wamegoma kuingia vitani kama hii ni Vita ya dini .
Mkuu wakristo wa Africa tu ndio mambumbumbuu
Wachache xnaa wanajielewa
 
Huyo ni mzee .au umri ujaona ndio sababu ya kumuacha we umekimbilia dini .
Mbona wakristo wa Israel wamegoma kuingia vitani kama hii ni Vita ya dini .
Mkuu wakristo wa Africa tu ndio mambumbumbuu
Wachache xnaa wanajielewa
Kama si dini kwa nini wakiuwawa wanajiita mashahidi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…