Taarifa zinachanganya ubinafsishaji wa mabasi ya mwendokasi; kipi ni kipi?

Sitta huyuhuyu aliyejenga ofisi ya Spika Urambo? Sitta huyuhuyu aliyehujumu mchakato wa katiba Mpya Kwa maslahi binafsi ili aje kugombea Urais?

Sitta huyuhuyu yeye na mke wake wote wapo bungeni wanakamuwa Kodi za Watanzania?
Mkuu umeonesha kiwango kidogo sana kwenye kujadili hoja.
Hoja hapo sio Sita alifanya nini ila Sita alisema nini.
Ukitaka yule asiye na kando lolote ndie awe na haki ya hoja yake kujadiliwa hutampata kamwe!
Hata wewe mwenyewe nafsi yako haitaweza kujijadili sabab wewe pia sio msafi
Asiye na hili ana lile!
 
"Black people are not complete human beings because they don't have a good brain to govern the society as White people. They are still under the process of becoming the complete human beings."
Pieter W. Botha, a former President of South Africa during the Apartheid era.

Nafikiri ifike mahali tunatakiwa kumuelewa Botha kwa hicho alichosema. Japokuwa ni chungu lakini tunatakiwa kumeza hivyo hivyo. Hakuna jinsi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…