Taarifa zinachanganya ubinafsishaji wa mabasi ya mwendokasi; kipi ni kipi?

Taarifa zinachanganya ubinafsishaji wa mabasi ya mwendokasi; kipi ni kipi?

"Black people are not complete human beings because they don't have a good brain to govern the society as White people. They are still under the process of becoming the complete human beings."
Pieter W. Botha, a former President of South Africa during the Apartheid era.

Nafikiri ifike mahali tunatakiwa kumuelewa Botha kwa hicho alichosema. Japokuwa ni chungu lakini tunatakiwa kumeza hivyo hivyo. Hakuna jinsi.
Ubinafsi na u mimi unatukwamisha sana kufsnya kila kitu dili
 
Kila mwenye na uwezo alete ya kwake kikubwa yatafautiane rang.halafu washindane mwenye kugawa juis na mikate ruksa ili mrad kuvuta wateja. Mwenye kuweka akijaza level seat aondoke sawa. Shida tu naul atakua anachkua agent mmoja au waweke mashine kila kampun ina scan hela yake
 
Hizi taarifa zinachanganya!

Tarehe 23 march niliangalia taarifa ya habari, Taarifa zinasema Serikali ina mpango wa kutafta mwekezaji ambaye ataleta mabasi na kutoa huduma kama mzabuni.

Tarehe 25 march katika taarifa ya habari wanasema mzabuni tayali kashaanza kuigiza mabasi! Swali tenda ilitangazwa lini?

Anyway! Wanaendelea kusema Mabasi hayo yatakuwa ya mzabuni hadi pale yatapofikia uchakavu ndipo yatakuwa mali ya serikali. Swali serikali kama imeshindwa kuyasimamia yakiwa mapya watawezaje kuyasimamia watapokabidhiwa yakiwa mabovu?

Huyu mzabuni ni nani? Kwanini mkataba useme mabasi chakavu itakabidhiwa serikali ili iweje?

Waandishi hebu fuatilieni tuwe tunapata taarifa zilizonyooka!
Unachokiandika ni dhana tu.
 
Kila mwenye na uwezo alete ya kwake kikubwa yatafautiane rang.halafu washindane mwenye kugawa juis na mikate ruksa ili mrad kuvuta wateja. Mwenye kuweka akijaza level seat aondoke sawa. Shida tu naul atakua anachkua agent mmoja au waweke mashine kila kampun ina scan hela yake
 
Kila mwenye na uwezo alete ya kwake kikubwa yatafautiane rang.halafu washindane mwenye kugawa juis na mikate ruksa ili mrad kuvuta wateja. Mwenye kuweka akijaza level seat aondoke sawa. Shida tu naul atakua anachkua agent mmoja au waweke mashine kila kampun ina scan hela yake
Utashangaa makampuni atakayoshinda ni ya inje wakati bongo kuna Kinashabiby, abood,tilisho, bm wanahaha kutafta abiria wa kuokota ..wakati kwenye mwendokasi abiria ni wa kuchota na kumwaga
 
Kila mwenye na uwezo alete ya kwake kikubwa yatafautiane rang.halafu washindane mwenye kugawa juis na mikate ruksa ili mrad kuvuta wateja. Mwenye kuweka akijaza level seat aondoke sawa. Shida tu naul atakua anachkua agent mmoja au waweke mashine kila kampun ina scan hela yake
Hahah
 
Hizi taarifa zinachanganya!

Tarehe 23 march niliangalia taarifa ya habari, Taarifa zinasema Serikali ina mpango wa kutafta mwekezaji ambaye ataleta mabasi na kutoa huduma kama mzabuni.

Tarehe 25 march katika taarifa ya habari wanasema mzabuni tayali kashaanza kuigiza mabasi! Swali tenda ilitangazwa lini?

Anyway! Wanaendelea kusema Mabasi hayo yatakuwa ya mzabuni hadi pale yatapofikia uchakavu ndipo yatakuwa mali ya serikali. Swali serikali kama imeshindwa kuyasimamia yakiwa mapya watawezaje kuyasimamia watapokabidhiwa yakiwa mabovu?

Huyu mzabuni ni nani? Kwanini mkataba useme mabasi chakavu itakabidhiwa serikali ili iweje?

Waandishi hebu fuatilieni tuwe tunapata taarifa zilizonyooka!
Haya maelezo yako yanaumiza sana Moyo kuna watu wanastahili wapigwe mabanzi ya vichwa na fimbo za mgongo wakiwa wanajiweka sawa kuegesha matako kwa ajili ya kupokea viboko wakiwa wanaelekea Jela,
 
"Black people are not complete human beings because they don't have a good brain to govern the society as White people. They are still under the process of becoming the complete human beings."
Pieter W. Botha, a former President of South Africa during the Apartheid era.

Nafikiri ifike mahali tunatakiwa kumuelewa Botha kwa hicho alichosema. Japokuwa ni chungu lakini tunatakiwa kumeza hivyo hivyo. Hakuna jinsi.
Hio kauli iwafikie viongozi wako walioushindwa mradi wa mwendokasi
 
Niliona migari kibao ya mwendokasi imeletwa au ni mradi wa nani?
Sasa kama wazawa hakuna mzabuni wa kuchota abiria na kumwaga ...elimu ya Tanzania basi haina maana kama vitu vyeupe kama hivi ambavyo mtu anaweza kufanya bila hata kwenda shule navyo vikitushinda!
Yaani kuchota abiria na kumwaga chapu
 
Sasa kama wazawa hakuna mzabuni wa kuchota abiria na kumwaga ...elimu ya Tanzania basi haina maana kama vitu vyeupe kama hivi ambavyo mtu anaweza kufanya bila hata kwenda shule navyo vikitushinda!
Yaani kuchota abiria na kumwaga chapu
Kuna neno nilitaka kulitoa hapa Ila acha nisiseme kitu
 
Mtu kazi alisema "atapigwa mtu kama ngoma"

Wanatukunyuga kweli kama malimba
 
Utashangaa makampuni atakayoshinda ni ya inje wakati bongo kuna Kinashabiby, abood,tilisho, bm wanahaha kutafta abiria wa kuokota ..wakati kwenye mwendokasi abiria ni wa kuchota na kumwaga

Mbona alisema wazi kabisa kuwa mwekezaji anatokea DUBAI mkuu
 
Niliwahi sema hata huu mradi wa kuzalisha umeme bwawa la nyerere, utashindwa hata kabla ya kuanza ni suala la muda tu.
 
Back
Top Bottom