Taarifa zinachanganya ubinafsishaji wa mabasi ya mwendokasi; kipi ni kipi?

Ubinafsi na u mimi unatukwamisha sana kufsnya kila kitu dili
 
Kila mwenye na uwezo alete ya kwake kikubwa yatafautiane rang.halafu washindane mwenye kugawa juis na mikate ruksa ili mrad kuvuta wateja. Mwenye kuweka akijaza level seat aondoke sawa. Shida tu naul atakua anachkua agent mmoja au waweke mashine kila kampun ina scan hela yake
 
Unachokiandika ni dhana tu.
 
Kila mwenye na uwezo alete ya kwake kikubwa yatafautiane rang.halafu washindane mwenye kugawa juis na mikate ruksa ili mrad kuvuta wateja. Mwenye kuweka akijaza level seat aondoke sawa. Shida tu naul atakua anachkua agent mmoja au waweke mashine kila kampun ina scan hela yake
 
Utashangaa makampuni atakayoshinda ni ya inje wakati bongo kuna Kinashabiby, abood,tilisho, bm wanahaha kutafta abiria wa kuokota ..wakati kwenye mwendokasi abiria ni wa kuchota na kumwaga
 
Hahah
 
Haya maelezo yako yanaumiza sana Moyo kuna watu wanastahili wapigwe mabanzi ya vichwa na fimbo za mgongo wakiwa wanajiweka sawa kuegesha matako kwa ajili ya kupokea viboko wakiwa wanaelekea Jela,
 
Still wanajenga barabara mpya za mwendokasi ilhali zilizopo wanashindwa kuzitumia effectively
Niliona migari kibao ya mwendokasi imeletwa au ni mradi wa nani?
 
Hio kauli iwafikie viongozi wako walioushindwa mradi wa mwendokasi
 
Niliona migari kibao ya mwendokasi imeletwa au ni mradi wa nani?
Sasa kama wazawa hakuna mzabuni wa kuchota abiria na kumwaga ...elimu ya Tanzania basi haina maana kama vitu vyeupe kama hivi ambavyo mtu anaweza kufanya bila hata kwenda shule navyo vikitushinda!
Yaani kuchota abiria na kumwaga chapu
 
Sasa kama wazawa hakuna mzabuni wa kuchota abiria na kumwaga ...elimu ya Tanzania basi haina maana kama vitu vyeupe kama hivi ambavyo mtu anaweza kufanya bila hata kwenda shule navyo vikitushinda!
Yaani kuchota abiria na kumwaga chapu
Kuna neno nilitaka kulitoa hapa Ila acha nisiseme kitu
 
Mtu kazi alisema "atapigwa mtu kama ngoma"

Wanatukunyuga kweli kama malimba
 
Utashangaa makampuni atakayoshinda ni ya inje wakati bongo kuna Kinashabiby, abood,tilisho, bm wanahaha kutafta abiria wa kuokota ..wakati kwenye mwendokasi abiria ni wa kuchota na kumwaga

Mbona alisema wazi kabisa kuwa mwekezaji anatokea DUBAI mkuu
 
Niliwahi sema hata huu mradi wa kuzalisha umeme bwawa la nyerere, utashindwa hata kabla ya kuanza ni suala la muda tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…