Taasisi au Mamlaka gani wanajihusisha na ajira wao wenyewe bila kupeleka tangazo la ajira sekretarieti ya ajira?

Taasisi au Mamlaka gani wanajihusisha na ajira wao wenyewe bila kupeleka tangazo la ajira sekretarieti ya ajira?

Umebahatika kuona zipi na zipi?

Nadhani watazirudisha baadae, system itakuwa imesumbua kwa ilishatokeaga hivyo mwezi wa 9

Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
Mkuu nimeziona nyingi nyingi alaf wakaziondoa fasta sikuweza kuzimark vzur... Ila kuna muhimbili national hospital (MNH), TEMDO,N.k ila ni pdf nyingi
 
Hizo hapo
 

Attachments

  • Screenshot_20221003-183225.png
    Screenshot_20221003-183225.png
    44.4 KB · Views: 25
Ajira kwa Taasisi na kampuni zote za serikali lazima zipitie PSRS au TAMISEMI.hakuna agent au mbadala mwingine!
 
Back
Top Bottom