evangelical
JF-Expert Member
- Nov 21, 2011
- 5,035
- 8,218
Tanroads naona bado wanatangaza wenyewe kazi zao
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mfano mimi natumia ID fake kwa 99.9%, halafu nina ID halisi ambayo huwa napost vitu visivyohusika na mambo ambayo hawawezi kujua kama niko against na Gavo.Huko hakuna usaili bali kuteuliwa tu majina yakipatikana unachunguzwa kila sehemu hadi kwenye mitandao ya kijamii kuangalia status yako na historia yako
Sio mpaka against gavo hata kama ni mambo ya kipuuzi utachomolewa, history background check ni zaidi ya hayo mambo nikuwa makini na mitandao tu maana wale hata kama ni ID fake they will know.Mfano mimi natumia ID fake kwa 99.9%, halafu nina ID halisi ambayo huwa napost vitu visivyohusika na mambo ambayo hawawezi kujua kama niko against na Gavo.
Je, zari likiniangukia si naweza kupenya? endapo wale wachache wanaoijua ID yangu fake wasipochomoa betri
Huo uchunguzi ni mkali sana ila kuna mambo(ya kiihalifu/kiusalama) huwa hawawezi kufanya chunguzi za kina.Sio mpaka against gavo hata kama ni mambo ya kipuuzi utachomolewa, history background check ni zaidi ya hayo mambo nikuwa makini na mitandao tu maana wale hata kama ni ID fake they will know.