Uchaguzi 2020 Taasisi iliyokusanya maoni ya mgombea wa CCM kushinda uchaguzi mkuu kwa asilimia 85, inachekesha na kusikitisha

Wakuu mi nataka nibet, anayeamin Lissu atashinda aweke Laki tano mi niweke million , akishinda anachukua Million akishindwa mi nachukua laki tano yake, chap washabiki wa Chadema mje ..hatutak maneno tunataka vitendo
.
Kushinda na kutangazwa mshindi ni mambo mawili tofauti. Kama unatumia ubongo wako vizuri utaelewa.
 
Unajiamini kwa sababu unajua mna tume ya uchafuzi ya CCM. Unakumbuka ile kauli nikuteue mimi, nikupe gari na posho, nikupe nyumba halafu umtangaze mpinzani.
Mambo mengne ni ubish tu!! Lakni ukwali Jpm kwa sasa anakubalika zaid kuliko uchaguzi uliopita kwa wananchi, mgombea wa chadema hana sera zinazogusa maisha ya kila siku ya wanachi, tofaut na kusema amepigwa, wanatekwa, wanadhulumiwa. Nk. Sasa kwa mwanachi anayeishi kijijini logalobogo bariad huko atamwelea Saa ngap?
 
Unajua hata kichaa pale Mirembe huamini hata wale wauguzi ndio vichaa, tumesikia sera ya elimu, Bima ya afya, nyongeza za mishahara nk. Lakini ni wenye hekima waliosikia, hivi mama yake Akwilina anampenda kama unavyodai? Mara ya mwisho mishahara ulipandishwa lini? Uhuru wa vyombo vya habari, uvunjifu wa katiba kwa kuzuia kazi za siasa nk vinamzidishia umaarufu?
Na wewe una majibu ya yaliyomkuta Lissu? Kwako pia ni jambo jepesi au?
 
Wanatakiwa kukamatwa mara moja waeleze ni wapi utafiti wao waliufanyia,.

CCM mwaka huu siyo ya kushinda Kwa kiwango hicho cha tafiti ya kipuuzi hivyo, CCM mwaka huu imefeli Sana ni 92%
 
Kura za rais Mkapa zilipanda awamu ya pili kulizo za awamu ya kwanza- nini mealezo yako
 
Wakuu mi nataka nibet, anayeamin Lissu atashinda aweke Laki tano mi niweke million , akishinda anachukua Million akishindwa mi nachukua laki tano yake, chap washabiki wa Chadema mje ..hatutak maneno tunataka vitendo
.
Milioni ndogo weka ata M5 ,alaf yy aweke ata 10,000 hatojitokeza mtu !!
 
Akitokea mtafiti mwingine akisema atàpata 47% anakamatwa, sasa huo utafiti wa upande mmoja unatusaidia nn?
 
Fanya na wewe utafiti wako ili tujue nini kinachoendelea kwa wapiga kura kama hukubaliani na huu wa hawa wengine.
 
Wakuu mi nataka nibet, anayeamin Lissu atashinda aweke Laki tano mi niweke million , akishinda anachukua Million akishindwa mi nachukua laki tano yake, chap washabiki wa Chadema mje ..hatutak maneno tunataka vitendo
.
Kama ni kushinda atashinda, sema kutangazwa
 
Hiyo taasisi feki ni ya akina Polepole, hakuna taasisi sasa hivi inayoweza kuruhusiwa kufanya tafiti huru ktk nchi hii, inayofanya lazima ni ya ccm wanayojifufurahishia.
 
Kwahiyo uko vijijini watu wana maisha magumu na niwajinga kiasi ambacho hawawezi kutofautisha zuri na baya au Hawana kabisa akili yakung"amua yanayoendelea nchi hii?.Au hawajui kabisa haki zao kiasi ambacho ata wakielimishwa hawataelewa.Au vichwa vyao nivigumu kiasi ambacho wanaona kuendelea kuishi maisha ya shida kijijini ni haki yao?.Kumbe ndo maana mnajitapa mtapata kura nyingi za watu wakijijini kwasababu mnajua kuna ujinga uliokithiri.Je unadhani hao watu wakijijini imekuaje wakawa na maisha ya hivyo?.Pamoja nakudharau watu wakijijini nakupa tu angalizo kua dunia inakimbia kwakasi sana.
 
Yaani mtu aliyeshinda kwa zengwe mwaka 2015 kwa 58%, miaka mitano baadae akiwa ameuvuruga uchumi, demokrasia na uhuru wa vyombo vya habari vilivyo, eti ashinde kirahisi tu kwa 85%!!!

Huu ni utani wa karne.
Ramli inaonyesha Magu anatarajiwa kupata 15% pekee.Hawakawii kubadili matokeo hawa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…