Taasisi ya Mwanamke Initiative Foundation (MIF) Yagawa Mitungi ya Gesi 2,000 (Kg 30) kwa Wanawake Wajasiriamali Mkoa wa Kusini, Zanzibar

Taasisi ya Mwanamke Initiative Foundation (MIF) Yagawa Mitungi ya Gesi 2,000 (Kg 30) kwa Wanawake Wajasiriamali Mkoa wa Kusini, Zanzibar

Stephano Mgendanyi

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2020
Posts
2,833
Reaction score
1,301

Taasisi ya Mwanamke Initiative Foundation (MIF) Yagawa Mitungi ya Gesi 2,000 (Kg 30) kwa Wanawake Wajasiriamali Mkoa wa Kusini, Zanzibar

Taasisi ya Mwanamke Initiatives Foundation (MIF) chini ya Mwenyekiti wake, Mhe. Wanu Hafidh Ameir tarehe 04 Julai, 2024 imegawa Mitungi ya Gesi 2,000 ( KG 30) kwa vikundi vya wanawake Wajasiriamali wa Mkoa wa Kusini, Zanzibar.

Hafla ya ugawaji wa Mitungi ya gesi ya kupikia ilifanyika katika ukumbi wa Kibeshi Unguja Ukuu ambapo Mgeni rasmi alikuwa Mhe. Judith Kapinga, Naibu Waziri wa Nishati.

Wizara ya Nishati ya Tanzania imewakabidhi Taasisi ya MIF mitungi 2,000 (Kg 30) kutoka ORYX Energy Tanzania, MIF wamepewa dhamana ya kuwagawia vikundi vya wanawake Wajasiriamali vinavyosimamiwa na MIF kupitia mradi wa Upishi Salama.

Hayo yamefanyika ikiwa ni kuendeleza juhudi za Serikali za kupunguza matumizi ya mkaa na kujali afya ya wapishi haswa wanawake na watoto ambao ndio waathirika wakubwa, kuokoa na kutunza mazingira kwa kupunguza ukataji miti.
 

Attachments

  • WhatsApp Image 2024-07-05 at 00.14.36.jpeg
    WhatsApp Image 2024-07-05 at 00.14.36.jpeg
    134.5 KB · Views: 9
  • WhatsApp Image 2024-07-05 at 00.15.18.jpeg
    WhatsApp Image 2024-07-05 at 00.15.18.jpeg
    156.3 KB · Views: 9
  • WhatsApp Image 2024-07-05 at 00.15.18(1).jpeg
    WhatsApp Image 2024-07-05 at 00.15.18(1).jpeg
    107.3 KB · Views: 9
  • WhatsApp Image 2024-07-05 at 00.15.18(2).jpeg
    WhatsApp Image 2024-07-05 at 00.15.18(2).jpeg
    114.7 KB · Views: 7
  • Screenshot 2024-07-05 at 11-28-11 Mwanamke Initiatives Foundation (@mwanamkeinitiativesfoundat...png
    Screenshot 2024-07-05 at 11-28-11 Mwanamke Initiatives Foundation (@mwanamkeinitiativesfoundat...png
    822.1 KB · Views: 10
  • Screenshot 2024-07-05 at 11-27-50 Mwanamke Initiatives Foundation (@mwanamkeinitiativesfoundat...png
    Screenshot 2024-07-05 at 11-27-50 Mwanamke Initiatives Foundation (@mwanamkeinitiativesfoundat...png
    878.5 KB · Views: 7
  • Screenshot 2024-07-05 at 11-27-57 Mwanamke Initiatives Foundation (@mwanamkeinitiativesfoundat...png
    Screenshot 2024-07-05 at 11-27-57 Mwanamke Initiatives Foundation (@mwanamkeinitiativesfoundat...png
    808.2 KB · Views: 7

Taasisi ya Mwanamke Initiative Foundation (MIF) Yagawa Mitungi ya Gesi 2,000 (Kg 30) kwa Wanawake Wajasiriamali Mkoa wa Kusini, Zanzibar

Taasisi ya Mwanamke Initiatives Foundation (MIF) chini ya Mwenyekiti wake, Mhe. Wanu Hafidh Ameir tarehe 04 Julai, 2024 imegawa Mitungi ya Gesi 2,000 ( KG 30) kwa vikundi vya wanawake Wajasiriamali wa Mkoa wa Kusini, Zanzibar.

Hafla ya ugawaji wa Mitungi ya gesi ya kupikia ilifanyika katika ukumbi wa Kibeshi Unguja Ukuu ambapo Mgeni rasmi alikuwa Mhe. Judith Kapinga, Naibu Waziri wa Nishati.

Wizara ya Nishati ya Tanzania imewakabidhi Taasisi ya MIF mitungi 2,000 (Kg 30) kutoka ORYX Energy Tanzania, MIF wamepewa dhamana ya kuwagawia vikundi vya wanawake Wajasiriamali vinavyosimamiwa na MIF kupitia mradi wa Upishi Salama.

Hayo yamefanyika ikiwa ni kuendeleza juhudi za Serikali za kupunguza matumizi ya mkaa na kujali afya ya wapishi haswa wanawake na watoto ambao ndio waathirika wakubwa, kuokoa na kutunza mazingira kwa kupunguza ukataji miti.
Initiative is to do something without being told or forced by event
 
Back
Top Bottom