Uchaguzi 2020 Taasisi za Kimataifa zatoa tafiti zao kuhusu Magufuli na uchaguzi wa 2020


Ni kwel itachukua lkn sio kwa njia ya haki ubunge hadi urais wenyewe


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Hata kama CCM ikichaguliwa kwa 100% kuna nn cha faida wananchi watapata zaidi ya kuzidi kutopea kwenye umasikini?
 

Mbona CCM vigeugeu?Hivi mnaowaita MABEBERU leo mnawaamini kuwaletea UTAFITI wao kuhusu Uchaguzi Mkuu 2020!
Mmesoma Gazeti la The Economist linalomwita Magufuli FOOLISH kwenye UCHUMI. Mbona Utafiti wa Wazalendo wa TWAWEZA mliukataa na mpaka leo Mkurugenzi wake hamjamrudishia Passport yake...kweli utawala huu ni LAANA!
 
Mimi siandiki porojo za mitaani, ninachokiandika ninakijua. Na nimekupa hata link jisomee!
 
Hata kama CCM ikichaguliwa kwa 100% kuna nn cha faida wananchi watapata zaidi ya kuzidi kutopea kwenye umasikini?
Mimi si MSEMAJI wa CCM ila naandika kilicho na watafiti.
 
Ni kwel itachukua lkn sio kwa njia ya haki ubunge hadi urais wenyewe


Sent from my iPhone using JamiiForums
Mkuu sidhani kama kutakiwa na wizi, maana kila chama kina wawakilishi/Agents wao. Ama?
 
Mkuu unataka kuniambia yangu ni highly redacted?
Well well. Nashukuru mkuu..
 
Mkuu mbona nimekuandikia. "Economist Intelligence Unit".
Tafuta wewe mwenyewe.
Weka link. Unafahamu “citation”? Eti “tafuta mwenyewe”. Kama umeandika uongo?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…