- Thread starter
- #61
Ahaa! Kumbe huwa tuna nini?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ahaa! Kumbe huwa tuna nini?
Kuna uchaguzi na si rubber stamp.Tanzani chini ya Magufuli, kuna uchaguzi?
Tumia akili!
Mkuu nipe sababu za kuzikalia!!!Umepewa akili ila umeamua kuzikalia na si kuzitumia
Radika nimekupa hata link. Si ujitafutie ujisomee?Uweke hapa huo utafiti tusome wote?
Ukibaki na hiyo DHANA itakufanya usipige kura kuwachagua viongozi wako.Mataga tupatie link ya huo utafiti ,pili Jiwe hakushinda 2015 na hatoshinda sema spite kwa njia ileile NEC ,tiss ,policcm .
By the way hii si lile gazeti la ECONOMIST hii ni Taasis tofauti na GAZETI.gazeti limesemaje juu ya wanakusini waliozulumiwa KOROSHO zao?
Usiwe na Kinyongo mkuu!
Kila kitu nimekuanikia.iko wapi hiyo ripoti mamaangu ?
kama unaamini pombe si fisadi rejea chaguzi za ubunge chato uchaguzi 2015 na chaguzi za marudio chini ya pombe ya mnazi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Shukrani
Nipe sababu zako!Magufuli na CCM watashinda kwa uchaguzi wa kutangazwa na siyo wa kuchaguliwa na wananchi.
Habari za utafiti wa hivi karibuni toka shirika amaTaasisi ya kimataifa ya Intelijensia ya Kiuchumi/ Economist Intelligence Unit/EIU lenye makao yake makuu jijini London Uingereza, limetoa matokeo yake ya kitafiti kuhusu UCHAGUZI ujao wa 2020 wa Tanzania.
Taasisi hiyo ya kimataifa ambayo ndo think tank kuu ya mambo ya kimataifa katika Nyanja za KISIASA, KIUCHUMI n.k.imetoa utafiti wake.
Miongoni mwa kazi zake kuu ni kufanya Utafiti/Research na ANALYSIS/ UCHAMBUZI ili kupata MATOKEO/ PROJECTION za nchi mbali mbali kuhusu Siasa na Uchumi na hivyo kubashiri wakiwa wamelenga shabaha kabisa/ Accuracy katika ubashiri wao.
Kulingana na Tafiti na Chambuzi zake za hivi karibuni zinazohusu uchaguzi wa Tanzania wa mwaka ujao wa 2020,
Rais Magufuli anategemewa kuchaguliwa tena kwa kura nyingi sana kuliko uchaguzi uliopita wa mwaka 2015.
Tafiti zao zinaonyesha pia kuwa, chama cha CCM kitachukua viti vingi sana vya UBUNGE na hivyo kuvinyima vyama vya upinzani nafasi nyingi za UBUNGE.
Tafiti zinasema pamoja na kuwa vyama vya upinzani vimejaribu sana bado CCM itapata ushindi mkubwa sana na hivyo kuifanya Tanzania kubaki nchi iliyo na Stability/AMANI kwa miaka mingi ijayo.
Chanzo: IEU.
MuongoHabari za utafiti wa hivi karibuni toka shirika amaTaasisi ya kimataifa ya Intelijensia ya Kiuchumi/ Economist Intelligence Unit/EIU lenye makao yake makuu jijini London Uingereza, limetoa matokeo yake ya kitafiti kuhusu UCHAGUZI ujao wa 2020 wa Tanzania.
Taasisi hiyo ya kimataifa ambayo ndo think tank kuu ya mambo ya kimataifa katika Nyanja za KISIASA, KIUCHUMI n.k.imetoa utafiti wake.
Miongoni mwa kazi zake kuu ni kufanya Utafiti/Research na ANALYSIS/ UCHAMBUZI ili kupata MATOKEO/ PROJECTION za nchi mbali mbali kuhusu Siasa na Uchumi na hivyo kubashiri wakiwa wamelenga shabaha kabisa/ Accuracy katika ubashiri wao.
Kulingana na Tafiti na Chambuzi zake za hivi karibuni zinazohusu uchaguzi wa Tanzania wa mwaka ujao wa 2020,
Rais Magufuli anategemewa kuchaguliwa tena kwa kura nyingi sana kuliko uchaguzi uliopita wa mwaka 2015.
Tafiti zao zinaonyesha pia kuwa, chama cha CCM kitachukua viti vingi sana vya UBUNGE na hivyo kuvinyima vyama vya upinzani nafasi nyingi za UBUNGE.
Tafiti zinasema pamoja na kuwa vyama vya upinzani vimejaribu sana bado CCM itapata ushindi mkubwa sana na hivyo kuifanya Tanzania kubaki nchi iliyo na Stability/AMANI kwa miaka mingi ijayo.
Chanzo: IEU.
Weka link. Unafahamu “citation”? Eti “tafuta mwenyewe”. Kama umeandika uongo?[/QUOUTE]
Mkuu mimi huwa naandika jambo nanalokiwa na UHAKIKA nalo.SIJAWAHI kuleta MAUONGO.
Andika kama nilivyoanadika kwa kirefu in small letters then weka .com/uk
imesoma lakini?Muongo
Nakutakia usomaji mzuri mkuuKwanini usiitoe hiyo ripoti hapa JF tuione