Uchaguzi 2020 Taasisi za Kimataifa zatoa tafiti zao kuhusu Magufuli na uchaguzi wa 2020

Mataga tupatie link ya huo utafiti ,pili Jiwe hakushinda 2015 na hatoshinda sema spite kwa njia ileile NEC ,tiss ,policcm .
Ukibaki na hiyo DHANA itakufanya usipige kura kuwachagua viongozi wako.
Badili mawazo hayo.
 

Kwanini usiitoe hiyo ripoti hapa JF tuione
 
Muongo
 
Kwa hiyo safari hii hamtaiba kura na kupora ushindi kwa msaada wa tiss, hongereni gambas naona sera ya charani kila mtaa imeeleweka.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Vijamaa vina jiandaa kukwiba, ati kura nyingi,
Wakati sasa hv hata vi layman vinajuta kumchagua,
Sasa kama ni hivyo kwanini mnawasumbua
TWAWEZA???
 
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…