Uchaguzi 2020 Taasisi za Kimataifa zatoa tafiti zao kuhusu Magufuli na uchaguzi wa 2020

join date 30 dec 2018 , umejiunga humu kuja kusema uongo ?
 
mmebakia kudanganya tu. Economists walewale waliomuita mpumbavu??
 
Hiyo ni dhana tu.
Kama ingekuwa ni hivyo, basi tusingekuwa na Wabunge wa vyama vingine kando ya CCM.
 
Muongo wewe hii link yako inakupeleka kwenye home page ambayo hiyo ripoti haipo. Halafu siku nyingine ukitoa hoja kumbuka ni jukumu lako kuitetea kwa vielelezo na sio kuwaambia watu wakatafute vyanzo.
Umeangalia ukakuta hamna?
Pole ni bonge la taarifa inahitajii muda.
Ni zaidi ya home page. Tafuta mkuu
 
mmebakia kudanganya tu. Economists walewale waliomuita mpumbavu??
Hilo ni GAZET Ilingine kabisa.
Na hawa nao ni watafiti wa aina yao mkuu.
Ndo maana ni wa kimataifa.
 
naweza kukuthibitishia kwamba nusu ya wabunge wa ccm hawakushinda uchaguzi ule , mfano halisi ni Mbunge wa Kyela Harrison Mwakyembe na mbunge wa Rungwe Saul Amon
Je hawa wabunge wa upinzani waliwekwa na CCM?
Naamini kuwa kuna demokrasia. Ila sisi wafrika hatukubali kushindwa.
Hata kama ni MPIRA bado mtu atasema refa alibana filimbi.
Hili ndo tatizo letu.
 
Ukiongelea uchaguzi wa Tanzania ni lazima uguse tume ya uchaguzi, vyombo vya dola, vyombo vya habari na magoli ya mikono...... kisha huo utafiti wauandike tena upya na kwa lugha ya kiswahili kisha ukausome.
Mkuu nina swali.Je hawa wabunge wa upinzani waliimgiaje bungeni.
Je ni CCM iliwaweka kama boya?
Ukinijibu hapo utakuwa umepata jibu kuwa dhana yako si ya kweli.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…