Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
join date 30 dec 2018 , umejiunga humu kuja kusema uongo ?Huitaji kuwa na PHD kujua hilo kwa upinzani upi uliopo sasa hadi 2020 wachukue nchi
Inatakiwa wajenge vyama na kujipanga kwa 2025
Lakini watatujaza ujinga na ukiisha uchaguzi watatuambia kuwa walishinda ila waliibiwa kura
Sent using Jamii Forums mobile app
mmebakia kudanganya tu. Economists walewale waliomuita mpumbavu??Habari za utafiti wa hivi karibuni toka shirika amaTaasisi ya kimataifa ya Intelijensia ya Kiuchumi/ Economist Intelligence Unit/EIU lenye makao yake makuu jijini London Uingereza, limetoa matokeo yake ya kitafiti kuhusu UCHAGUZI ujao wa 2020 wa Tanzania.
Taasisi hiyo ya kimataifa ambayo ndo think tank kuu ya mambo ya kimataifa katika Nyanja za KISIASA, KIUCHUMI n.k.imetoa utafiti wake.
Miongoni mwa kazi zake kuu ni kufanya Utafiti/Research na ANALYSIS/ UCHAMBUZI ili kupata MATOKEO/ PROJECTION za nchi mbali mbali kuhusu Siasa na Uchumi na hivyo kubashiri wakiwa wamelenga shabaha kabisa/ Accuracy katika ubashiri wao.
Kulingana na Tafiti na Chambuzi zake za hivi karibuni zinazohusu uchaguzi wa Tanzania wa mwaka ujao wa 2020,
Rais Magufuli anategemewa kuchaguliwa tena kwa kura nyingi sana kuliko uchaguzi uliopita wa mwaka 2015.
Tafiti zao zinaonyesha pia kuwa, chama cha CCM kitachukua viti vingi sana vya UBUNGE na hivyo kuvinyima vyama vya upinzani nafasi nyingi za UBUNGE.
Tafiti zinasema pamoja na kuwa vyama vya upinzani vimejaribu sana bado CCM itapata ushindi mkubwa sana na hivyo kuifanya Tanzania kubaki nchi iliyo na Stability/AMANI kwa miaka mingi ijayo.
Chanzo: IEU.
Tuambie wewe unajua!Walishampa ile tuzo ya ndege Kutua kwa dharura kwanza?
Asiyejua maana haambiwi maana.
Utawekaje document wakati link nimekupatia?Ulichoandika ni maneno tu yasiyo na supportive documents. Topic kama hiz una weka na document kama proof. Otherwise itaonekana ni blah blah
Sent using Jamii Forums mobile app
Hiyo ni dhana tu.CCM huwa hawashindi kihalali.
Sababu zangu ni kwamba CCM hajawahi kushinda kihalali, sababu kubwa zaidi kuliko zote ni hii,mkurugenzi nimekuteua mimi,ninakulipa mshahara, unaishi kwenye nyumba ya serekali, unatembelea gari ya serekali halafu nikusikie umetangaza mpinzani kashinda, maneno hayo na marufuku hiyo siyo ya kwangu ni ya mwenye serekali yake.
www.eiu.comHiyo link ni ngumu sana kuiweka hapa? ama hilo neno intelligence Unit linakutisha?.
Sent using Jamii Forums mobile app
www.eiu.comUnajua Hata kuandika jambo bila kuambatanisha udhibitisho ni Uvivu wa kiakili?
Sent using Jamii Forums mobile app
Umeangalia ukakuta hamna?Muongo wewe hii link yako inakupeleka kwenye home page ambayo hiyo ripoti haipo. Halafu siku nyingine ukitoa hoja kumbuka ni jukumu lako kuitetea kwa vielelezo na sio kuwaambia watu wakatafute vyanzo.
Kwa nini?hafiki 2020
www.eiu.comLink please!
Ukiweza kutumia akili na uka goggle hilo gazeti, utaweza kusoma article yote kikamilifu, ten bila ya chumvi zinazoongezwa.Uweke hapa huo utafiti tusome wote?
Ukiishi katika denial/kutokukubali hilo ni tatizo lako na si la watafiti.Fake news
www.eiu.comSource please! unashindwa hata kuweka link?
Hilo ni GAZET Ilingine kabisa.mmebakia kudanganya tu. Economists walewale waliomuita mpumbavu??
Bila chumvi dah!Ukiweza kutumia akili na uka goggle hilo gazeti, utaweza kusoma article yote kikamilifu, ten bila ya chumvi zinazoongezwa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Soma link hii www.eiu.comUTAKUWA UTAFITI WAKO. HAKUNA KICHWA KINAISHI LONDON KINAWEZA KUWAZA HIVI.
CHINI YA POMBE HAKUNA UCHAGUZI
Je hawa wabunge wa upinzani waliwekwa na CCM?naweza kukuthibitishia kwamba nusu ya wabunge wa ccm hawakushinda uchaguzi ule , mfano halisi ni Mbunge wa Kyela Harrison Mwakyembe na mbunge wa Rungwe Saul Amon
I wish ningezipata!!Hawa ndio wanatafuna hela za ccm wanaitwa MATAGA , wote ni wa kunyumba
Mkuu nina swali.Je hawa wabunge wa upinzani waliimgiaje bungeni.Ukiongelea uchaguzi wa Tanzania ni lazima uguse tume ya uchaguzi, vyombo vya dola, vyombo vya habari na magoli ya mikono...... kisha huo utafiti wauandike tena upya na kwa lugha ya kiswahili kisha ukausome.