Taasisi za kimkakati zilizoasisiwa na Mwalimu Nyerere

Taasisi za kimkakati zilizoasisiwa na Mwalimu Nyerere

jingalao

JF-Expert Member
Joined
Oct 12, 2011
Posts
36,197
Reaction score
29,717
Kwa nini anaitwa baba wa Taifa....
Ni kwa sababu aliweka msingi na mikakati ya Taifa la Tanzania.
Kama umepata fursa ya kutembea nchi hii ndio utaelewa Baba wa Taifa alikuwa ni kichwa haswa.
Zipo Taasisi za kimkakati alizoasisi na hadi sasa zimebaki kuwa ni muhimili wa Taifa kusonga mbele

1-Chama Imara kinachoendelea kushika madaraka na kuifanya Tanzania kuwa ya Amani.

2-JWTZ

3-JKT

4-UDSM(Kuandaa wasomi wenye fikra)

5-IDM MZUMBE(Kuandaa viongozi)

6-SUA(kuandaa wataalamu wa kilimo)

7-MONDULI(Kuandaa Viongozi na maafisa wa jeshi)
8-Vyama vya Ushirika(Kilimo biashara)
9-DIT,ATC,na vyuo vya kati kuandaa mafundi mchundo
10-Shule za vipaji maalumu
11-Chuo cha uvuvi mbegani(kuandaa wataalamu wa uvuvi kibiashara)
12-Chuo cha ualimu bagamoyo n.k (kuandaa walimu viongozi wa shule)
13-Vyuo vya CBE,IAA(Kuandaa wataalamu na viongozi wa maswala ya uchumi)
14-VIWANJA VYA MICHEZO (STADIUMS,DARTS CLUB N.K)
16-UDA ,MORETCO,NA MASHIRIKA MENGINE USAFIRISHAJI KILA MKOA
17-R.T.D/SHIHATA
18-N .H.C (Jionee manyumba wanaoishi wahindi kila mji)
19-N.B.C(benki ya biashara)
20-C.R.D.B(benki ya maendeleo vijijini)
21-Posta na Simu(Mawasiliano)
22-N.M.C (Shirika la uzalishaji nafaka)
23-Viwanda vya kimkakati kila mkoa mfano Machine Tools
24-SUKITA

Kwa ufupi hakuna Taasisi au Tasnia iliachwa kuanzishwa na baba wa Taifa.
Iwapo Atatokea Rais wa Kufanyia kazi japo kwa Asilimia 50 tu ya mkakati alioucha Baba wa Taifa Basi Tanzania itakuwa ni nchi Tishio duniani.

Hii ni salamu kwa vibaraka wa mabeberu wanaojaribu kutaka kuchukulia poa Muasisi wa Taifa hili.


KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!
 
Kwa nini anaitwa baba wa Taifa....
Ni kwa sababu aliweka msingi na mikakati ya Taifa la Tanzania.
Kama umepata fursa ya kutembea nchi hii ndio utaelewa Baba wa Taifa alikuwa ni kichwa haswa.
Zipo Taasisi za kimkakati alizoasisi na hadi sasa zimebaki kuwa ni muhimili wa Taifa kusonga mbele

1-Chama Imara kinachoendelea kushika madaraka na kuifanya Tanzania kuwa ya Amani.

2-JWTZ

3-JKT

4-UDSM(Kuandaa wasomi wenye fikra)

5-IDM MZUMBE(Kuandaa viongozi)

6-SUA(kuandaa wataalamu wa kilimo)

7-MONDULI(Kuandaa Viongozi na maafisa wa jeshi)
8-Vyama vya Ushirika(Kilimo biashara)
9-DIT,ATC,na vyuo vya kati kuandaa mafundi mchundo
10-Shule za vipaji maalumu
11-Chuo cha uvuvi mbegani(kuandaa wataalamu wa uvuvi kibiashara)
12-Chuo cha ualimu bagamoyo n.k (kuandaa walimu viongozi wa shule)
13-Vyuo vya CBE,IAA(Kuandaa wataalamu na viongozi wa maswala ya uchumi)
14-VIWANJA VYA MICHEZO (STADIUMS,DARTS CLUB N.K)
16-UDA ,MORETCO,NA MASHIRIKA MENGINE USAFIRISHAJI KILA MKOA
17-R.T.D
18-N .H.C (Jionee manyumba wanaoishi wahindi kila mji)
19-N.B.C(benki ya biashara)
20-C.R.D.B(benki ya maendeleo vijijini)
21-Posta na Simu(Mawasiliano)

Kwa ufupi hakuna Taasisi au Tasnia iliachwa kuanzishwa na baba wa Taifa.
Iwapo Atatokea Rais wa Kufanyia kazi japo kwa Asilimia 50 tu ya mkakati alioucha Baba wa Taifa Basi Tanzania itakuwa ni nchi Tishio duniani.

Hii ni salamu kwa vibaraka wa mabeberu wanaojaribu kutaka kuchukulia poa Muasisi wa Taifa hili
Kwa ufupi hakuna Taasisi au Tasnia iliachwa kuanzishwa na baba wa Taifa.
Iwapo Atatokea Rais wa Kufanyia kazi japo kwa Asilimia 50 tu ya mkakati alioucha Baba wa Taifa Basi Tanzania itakuwa ni nchi Tishio duniani📌🔨.
 
Kwa nini anaitwa baba wa Taifa....
Ni kwa sababu aliweka msingi na mikakati ya Taifa la Tanzania.
Kama umepata fursa ya kutembea nchi hii ndio utaelewa Baba wa Taifa alikuwa ni kichwa haswa.
Zipo Taasisi za kimkakati alizoasisi na hadi sasa zimebaki kuwa ni muhimili wa Taifa kusonga mbele

1-Chama Imara kinachoendelea kushika madaraka na kuifanya Tanzania kuwa ya Amani.

2-JWTZ

3-JKT

4-UDSM(Kuandaa wasomi wenye fikra)

5-IDM MZUMBE(Kuandaa viongozi)

6-SUA(kuandaa wataalamu wa kilimo)

7-MONDULI(Kuandaa Viongozi na maafisa wa jeshi)
8-Vyama vya Ushirika(Kilimo biashara)
9-DIT,ATC,na vyuo vya kati kuandaa mafundi mchundo
10-Shule za vipaji maalumu
11-Chuo cha uvuvi mbegani(kuandaa wataalamu wa uvuvi kibiashara)
12-Chuo cha ualimu bagamoyo n.k (kuandaa walimu viongozi wa shule)
13-Vyuo vya CBE,IAA(Kuandaa wataalamu na viongozi wa maswala ya uchumi)
14-VIWANJA VYA MICHEZO (STADIUMS,DARTS CLUB N.K)
16-UDA ,MORETCO,NA MASHIRIKA MENGINE USAFIRISHAJI KILA MKOA
17-R.T.D
18-N .H.C (Jionee manyumba wanaoishi wahindi kila mji)
19-N.B.C(benki ya biashara)
20-C.R.D.B(benki ya maendeleo vijijini)
21-Posta na Simu(Mawasiliano)

Kwa ufupi hakuna Taasisi au Tasnia iliachwa kuanzishwa na baba wa Taifa.
Iwapo Atatokea Rais wa Kufanyia kazi japo kwa Asilimia 50 tu ya mkakati alioucha Baba wa Taifa Basi Tanzania itakuwa ni nchi Tishio duniani.

Hii ni salamu kwa vibaraka wa mabeberu wanaojaribu kutaka kuchukulia poa Muasisi wa Taifa hili
Kwa nini anaitwa baba wa Taifa....
Ni kwa sababu aliweka msingi na mikakati ya Taifa la Tanzania.
Kama umepata fursa ya kutembea nchi hii ndio utaelewa Baba wa Taifa alikuwa ni kichwa haswa.📌🔨
 
Nilijua tu utatoa boko👇🏿👇🏿👇🏿😀
Chama Imara kinachoendelea kushika madaraka na kuifanya Tanzania kuwa ya Amani.

Hivi kabisa jingalao bado unaamini ccm ni chama imara?
Na huyu mnayemuita mama wa Taifa kafanya nini?
Hivi unawezaje kuthubutu kuifananisha CCM aliyoiacha Nyerere na hii?
Hiki si chama cha wananchi tena bali ni chama cha walanchi
 
Nilijua tu utatoa boko👇🏿👇🏿👇🏿😀
Chama Imara kinachoendelea kushika madaraka na kuifanya Tanzania kuwa ya Amani.

Hivi kabisa jingalao bado unaamini ccm ni chama imara?
Na huyu mnayemuita mama wa Taifa kafanya nini?
Hivi unawezaje kuthubutu kuifananisha CCM aliyoiacha Nyerere na hii?
Hiki si chama cha wananchi tena bali ni chama cha walanchi
Unaweza kuifananisha CCM na ANC?
Bado C.C.M ni imara na ina nidhamu kwa wananchi pamoja na mihemuko ya ki Gen Z iliyopo.
Nisingependa mjadala huu uhamie kwenye Siasa za C.C.M vs Upinzani bali ujikite kwenye legacy ya Mwalimu.
 
Kwa anayezitambua taasisi nyingine aweke hapa kwani nimezitaja kwa uchache
 
Mzee wangu ni Kati ya wale waliofanya kazi na mzee walingozi ngoja niishie hapa. MWL was real genius when it comes to admistration.
 
Kwa nini anaitwa baba wa Taifa....
Ni kwa sababu aliweka msingi na mikakati ya Taifa la Tanzania.
Kama umepata fursa ya kutembea nchi hii ndio utaelewa Baba wa Taifa alikuwa ni kichwa haswa.
Zipo Taasisi za kimkakati alizoasisi na hadi sasa zimebaki kuwa ni muhimili wa Taifa kusonga mbele

1-Chama Imara kinachoendelea kushika madaraka na kuifanya Tanzania kuwa ya Amani.

2-JWTZ

3-JKT

4-UDSM(Kuandaa wasomi wenye fikra)

5-IDM MZUMBE(Kuandaa viongozi)

6-SUA(kuandaa wataalamu wa kilimo)

7-MONDULI(Kuandaa Viongozi na maafisa wa jeshi)
8-Vyama vya Ushirika(Kilimo biashara)
9-DIT,ATC,na vyuo vya kati kuandaa mafundi mchundo
10-Shule za vipaji maalumu
11-Chuo cha uvuvi mbegani(kuandaa wataalamu wa uvuvi kibiashara)
12-Chuo cha ualimu bagamoyo n.k (kuandaa walimu viongozi wa shule)
13-Vyuo vya CBE,IAA(Kuandaa wataalamu na viongozi wa maswala ya uchumi)
14-VIWANJA VYA MICHEZO (STADIUMS,DARTS CLUB N.K)
16-UDA ,MORETCO,NA MASHIRIKA MENGINE USAFIRISHAJI KILA MKOA
17-R.T.D
18-N .H.C (Jionee manyumba wanaoishi wahindi kila mji)
19-N.B.C(benki ya biashara)
20-C.R.D.B(benki ya maendeleo vijijini)
21-Posta na Simu(Mawasiliano)
22-N.M.C (Shirika la uzalishaji nafaka)
23-Viwanda vya kimkakati kila mkoa mfano Machine Tools
24-SUKITA

Kwa ufupi hakuna Taasisi au Tasnia iliachwa kuanzishwa na baba wa Taifa.
Iwapo Atatokea Rais wa Kufanyia kazi japo kwa Asilimia 50 tu ya mkakati alioucha Baba wa Taifa Basi Tanzania itakuwa ni nchi Tishio duniani.

Hii ni salamu kwa vibaraka wa mabeberu wanaojaribu kutaka kuchukulia poa Muasisi wa Taifa hili
Kitengo cha Mzena
 
Kwa nini anaitwa baba wa Taifa....
Ni kwa sababu aliweka msingi na mikakati ya Taifa la Tanzania.
Kama umepata fursa ya kutembea nchi hii ndio utaelewa Baba wa Taifa alikuwa ni kichwa haswa.
Zipo Taasisi za kimkakati alizoasisi na hadi sasa zimebaki kuwa ni muhimili wa Taifa kusonga mbele

1-Chama Imara kinachoendelea kushika madaraka na kuifanya Tanzania kuwa ya Amani.

2-JWTZ

3-JKT

4-UDSM(Kuandaa wasomi wenye fikra)

5-IDM MZUMBE(Kuandaa viongozi)

6-SUA(kuandaa wataalamu wa kilimo)

7-MONDULI(Kuandaa Viongozi na maafisa wa jeshi)
8-Vyama vya Ushirika(Kilimo biashara)
9-DIT,ATC,na vyuo vya kati kuandaa mafundi mchundo
10-Shule za vipaji maalumu
11-Chuo cha uvuvi mbegani(kuandaa wataalamu wa uvuvi kibiashara)
12-Chuo cha ualimu bagamoyo n.k (kuandaa walimu viongozi wa shule)
13-Vyuo vya CBE,IAA(Kuandaa wataalamu na viongozi wa maswala ya uchumi)
14-VIWANJA VYA MICHEZO (STADIUMS,DARTS CLUB N.K)
16-UDA ,MORETCO,NA MASHIRIKA MENGINE USAFIRISHAJI KILA MKOA
17-R.T.D
18-N .H.C (Jionee manyumba wanaoishi wahindi kila mji)
19-N.B.C(benki ya biashara)
20-C.R.D.B(benki ya maendeleo vijijini)
21-Posta na Simu(Mawasiliano)
22-N.M.C (Shirika la uzalishaji nafaka)
23-Viwanda vya kimkakati kila mkoa mfano Machine Tools
24-SUKITA

Kwa ufupi hakuna Taasisi au Tasnia iliachwa kuanzishwa na baba wa Taifa.
Iwapo Atatokea Rais wa Kufanyia kazi japo kwa Asilimia 50 tu ya mkakati alioucha Baba wa Taifa Basi Tanzania itakuwa ni nchi Tishio duniani.

Hii ni salamu kwa vibaraka wa mabeberu wanaojaribu kutaka kuchukulia poa Muasisi wa Taifa hili
Hiyo namba moja imesababisha kuigeuza hii nchi kuwa ni ya mazombie! Hivyo kwa hapo, Mwl Nyerere alipuyanga vibaya.

Imagine leo hii hiyo taasisi inamilikiwa na kikundi cha wezi, wala rushwa wakubwa, wachawi, walanguzi, matapeli, mafisadi, majambazi, majangili, na kila aina ya watu waovu katika jamii. Hakuna tena ile kauli ya kusema hicho chama ni kwa ajili ya wakulima na wafanyakazi.
 
Sasa mbona ampokei SIMU za watoto wake?
Tuanzie hapo Kwanza.
All the best
 
Hiyo namba moja imesababisha kuigeuza hii nchi kuwa ni ya mazombie! Hivyo kwa hapo, Mwl Nyerere alipuyanga vibaya.

Imagine leo hii hiyo taasisi inamilikiwa na kikundi cha wezi, wala rushwa wakubwa, wachawi, walanguzi, matapeli, mafisadi, majambazi, majangili, na kila aina ya watu waovu katika jamii. Hakuna tena ile kauli ya kusema hicho chama ni kwa ajili ya wakulima na wafanyakazi.
Too general!
Wezi na wala rushwa walikuwepo kwenye jamii toka miaka hiyo...unadhani kwa nini Mwalimu alikuwa anafoka juu ya hilo?
 
Nilijua tu utatoa boko👇🏿👇🏿👇🏿😀
Chama Imara kinachoendelea kushika madaraka na kuifanya Tanzania kuwa ya Amani.

Hivi kabisa jingalao bado unaamini ccm ni chama imara?
Na huyu mnayemuita mama wa Taifa kafanya nini?
Hivi unawezaje kuthubutu kuifananisha CCM aliyoiacha Nyerere na hii?
Hiki si chama cha wananchi tena bali ni chama cha walanchi
Naam umejibu vema kabisa.
 
Back
Top Bottom