Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yani dah inasikitishaKuna jamaa alikop nmb 18mil deni la 8yrs anatakiwa kulipa 32mil hili nalo ni janga lingine.
Tafadhari hapa elezea vizuri ilikuaje kuaje hapo NMB ?Hapa nilipo nadaiwa pesa bnyingi sana na Nmb mpaka najuta pesa zenyewe sikukopa zote nilifanya top up ya milioni sita nilikuja kushangaa deni linasona milioni 14
Muulize NAPEHivi Bongo tuna serikali ya kiraia kweli? Yaani ile serikali ya kupigania haki za raia wake kwenye nyanja za kiuchumi, kijamii na kisiasa! Tunayo kweli?
Wewe umejuaje kama mimi ni mwalimu? Acha dharauTatzo walimu wengi ni fuata mkumbo hususani kwenye maswala ya mikopo,
cha kusikitisha kila mwalimu anataka amwone mwenzake anapitia the same struggle.
Mkiwa kitu 1 mkapeleka malalamiko sehemu husika hii mizigo ya kujitakia mtaiepuka .
miaka 8, hiyo ndogo sana ishukuru hiyo benkiKuna jamaa alikop nmb 18mil deni la 8yrs anatakiwa kulipa 32mil hili nalo ni janga lingine.
Hivi we unajua hata maana ya serikali. Mbona mmekuwa wapumbavu hivyo? Serikali imaingiaje kwenye utopolo wako huo wa mikopo? Muwe serious acha upuuziHivi Bongo tuna serikali ya kiraia kweli? Yaani ile serikali ya kupigania haki za raia wake kwenye nyanja za kiuchumi, kijamii na kisiasa! Tunayo kweli?
Huoni kwamba wewe ndi Lofa? Serikali ina wajibu wa kusimamia kila taasisi inayotoa huduma kwa wananchi!Hivi we unajua hata maana ya serikali. Mbona mmekuwa wapumbavu hivyo? Serikali imaingiaje kwenye utopolo wako huo wa mikopo? Muwe serious acha upuuzi
Mwandiko wako ni kama ule wa mtoto wa miaka 4. Bila shaka utakuwa na udumavu wa akili.Hivi we unajua hata maana ya serikali. Mbona mmekuwa wapumbavu hivyo? Serikali imaingiaje kwenye utopolo wako huo wa mikopo? Muwe serious acha upuuzi
Unang'ang'ana na hela za benki eee kila saa benki, benk. siutafute zakwako? hizo bank ni kazi za watu, na kila siku wanaumiza vichwa vyao ninamna gani,au wamlipe nani, atunge sheria itakayo wapa mamlaka ya kukunyang'anya hiyo kazi yako na kiinua mgongo chako chote,. Ili utie akiliHabari,
Mimi ni mtumishi wa umma katika halmashauri ya wilaya ya igunga!
Kiukweli hii nchi wizi hautaisha, taasisi za kukopesha zinafanya wizi wa nje nje hii sio sawa!
Watumishi wa umma wanalia na madeni binafsi nimeshuhudia hali inatisha sana,
Kipindi flani kuna taasisi ya mikopo sijui hata Walitoa wapi namba yangu ya simu walinisumbua sana eti nikakope hela kwa riba nafuu nikakataa
Wakanitafta mpaka watsapp wakanitumia aina karibia 10 za pikipiki kuwa wanakopesha
Nikachagua pikipiki moja aina ya BOxER ile pikipiki dukani inauzwa 3M but wao wakaniambia wananikopesha pikipiki kwa riba nafuu wakanipogia hesabu kuwa nitakua ninakatwa 153000 kwa muda wa miezi 48 sawa na miaka minne
Nilipopiga hesabu nikakuta natakiwa jumla kuwalipa 7344000 yaani pikipiki ya milioni tatu nainunua kwa milioni saba nilishangaa sana nikawaambia sifanyi huo ujinga nikawablock
Hivi majuzi nimepata tatizo nikaenda kuomba mkopo abc benki
Nikaomba mkopo wa 7.8 milioni haloo nimepewa kikotoo nilivyokaa chini nikakuta natakiwa kulipa jumla milioni 17 tena kwa miaka minne tu huu ni wizi serikali iko wapi?
Hapa nilipo nadaiwa pesa bnyingi sana na Nmb mpaka najuta pesa zenyewe sikukopa zote nilifanya top up ya milioni sita nilikuja kushangaa deni linasona milioni 14
Kwani hao biotii hawataki mgao auBOT wamelala usingizi wa pono.
Kuna jamaa alikop nmb 18mil deni la 8yrs anatakiwa kulipa 32mil hili nalo ni janga lingine.