Taasisi za mikopo zinawaona watumishi wa Umma sio waelewa! Serikali iingilie kati tunakufa

Taasisi za mikopo zinawaona watumishi wa Umma sio waelewa! Serikali iingilie kati tunakufa

Mimi nawaona wa ukweli ni EQUITY Bank tu, kwanza wana riba ndogo lakini pia wanakukatavkama mlivyokubaliana kwenye mjataba wenu. Hawazidishi hata mia
 
Vitabu vya Mungu vimekiri...

Akopae ni mtumwa wa akopeshae!! na itabaki hvo daima..asa ww ni nani au Bot ni kitu Gani hadi wapinge hlo..

Na ww unaelia serikali ije kukusaidia nikukumbushe,, serikali Yako nayo ina madeni makubwa yenye riba kubwa mpaka wanauza mbuga na bandari sio kwamba wanapenda nope...madini gesi washauza vyote..bado na ww kuuzwa!!!!
 
Back
Top Bottom