Gatabhanya
JF-Expert Member
- Nov 16, 2024
- 2,644
- 5,178
- Thread starter
-
- #101
Mshahara ni wa kawaida marupurupu na dili ni nyingiMaliasili baadhi tu mbona nasikia Tawa na Tfs wanakula mshahara wa kawaida tu
Mshahara ni wa kawaida marupurupu na dili ni nyingi
Kumbe kuna uwezekano wakawa hawana tofauti sana kati ya mfanyakazi wa tawa, tfs, tanapa na NcaaMshahara ni wa kawaida marupurupu na dili ni nyingi
Maana mtu anayefanya kazi kama IT officer pale NCAA take home yake ukiweka na allowance ni 2m+ ila hawa tawa na tfs hata ukijumlisha na posho zao sidhan km inafika hata 2mMshahara ni wa kawaida marupurupu na dili ni nyingi
Labda wakuu wa shule na maafisa elimu. Ila hawa wachini wateja wao si wanafunzi. Labda kuchapa fimboWAALIMU
Na jiwe akibariki hilo kwaoYaani hao rushwa ndio kama pumzi yao.
Unaelewa maana ya kula kwa urefu wa kamba?Maana mtu anayefanya kazi kama IT officer pale NCAA take home yake ukiweka na allowance ni 2m+ ila hawa tawa na tfs hata ukijumlisha na posho zao sidhan km inafika hata 2m
Benki kuu hawana haja hata ya kambaZa asubuhi....
Moja kwa moja kwenye mada.
1.TRA
2.MAHAKAMA
3.TAASISI ZA UJENZI BARABARA KAMA TARURA N.K
4.TBS
5.MALIASILI
6.HOSPITAL
7.Ongezea zingine
Passport hata hazisumbui siku hizi.Hujafika uhamiaji wewe?
Kupata passport utasota
Nssf
Nida
Nilipata namba ya Mhe. Afande Anna Makakala NIKATOBOA bureeeeeeee.Hujafika uhamiaji wewe?
Kupata passport utasota
Nssf
Nida
Afisa kilimo utakula kwa mfugajiNa sisi ambao tupo chini ya wizara ya kilimo na mifugo wakuu
Natafuta sanaa post ya kuhamia BOT, HAZINA au WIZARA YA FEDHA.Benki kuu hawana haja hata ya kamba
AbusolutelyNatafuta sanaa post ya kuhamia BOTZ, HAZINA au WIZARA YA FEDHA.
Naamini nitatoboa.
#YNWA
#YANGA_BINGWA
Ardhi, Muda wote kuhujumu viwanja....Za asubuhi....
Moja kwa moja kwenye mada.
1.TRA
2.MAHAKAMA
3.TAASISI ZA UJENZI BARABARA KAMA TARURA N.K
4.TBS
5.MALIASILI
6.HOSPITAL
7.Ongezea zingine
Daaah aiseee mbona hatareee hiiiAfisa kilimo utakula kwa mfugaji
Sindano moja ya OTC ni buku 5 tuu..!!!
#YNWA
#YANGA_BINGWA
Kama huzijui nyamaza kwanza ni TPDF huko ukishaingia tu hata kwa kuazimana vyeti umepita umewahi kusikia kuna ukaguz wa aina yyte sijui pepmis sijui legend nyaraka zenu tena sijui nn kwengne unawaonea tuZa asubuhi....
Moja kwa moja kwenye mada.
1.TRA
2.MAHAKAMA
3.TAASISI ZA UJENZI BARABARA KAMA TARURA N.K
4.TBS
5.MALIASILI
6.HOSPITAL
7.Ongezea zingine
Hatari sanaHakuna watu washenzi kama uhamiaji hasa,wa kule mipakani