Napenda kulalamikia makampuni ya mikopo madogomadogo na assasi zisizo za kiserikali, kurekebisha kauli zao na misimamo yao, Mtu anapoomba mkopo nikwamba anahitaji mkopo ule ajikimu na matatizo aliyonayo, lakini badala yake wao hu (upload users devices data) mfano Phonebooks na meseji kisha mteja wao akichelewesha kurejesha mkopo hata ndani ya 24 tu, wanamuongezea riba na kuwatumia meseji jamaa wa wateja wao (yaani nikama kumuaibisha mteja) ili ionekane anadaiwa, hili linafanyika kwenye Application nyingi za mikopo Mfano MR FINANCE(Ustawi Loan/Cash Pesa/Pesa Tree/Yes Pesa..etc)
Naiomba serikali kuwaangalia hawa waendeshaji wa mikpo na kujitahidi kutunza faragha za mteja wao.
Kwasababu Mteja anapoomba mkopo hamna mzamini ispokua kitambulisho chake cha uraia kwahiyo atatakiwa kuchukua responsibility na si kuwatumia meseji watu wake kwenye phone book.
Ahasanteni kwa kunielewa mlionielewa:
Soma: Tume ya Ulinzi wa Taarifa Binafsi yazionya Taasisi za mikopo zinazodhalilisha watu ikiwemo kutuma ujumbe kwa ndugu
Naiomba serikali kuwaangalia hawa waendeshaji wa mikpo na kujitahidi kutunza faragha za mteja wao.
Kwasababu Mteja anapoomba mkopo hamna mzamini ispokua kitambulisho chake cha uraia kwahiyo atatakiwa kuchukua responsibility na si kuwatumia meseji watu wake kwenye phone book.
Ahasanteni kwa kunielewa mlionielewa:
Soma: Tume ya Ulinzi wa Taarifa Binafsi yazionya Taasisi za mikopo zinazodhalilisha watu ikiwemo kutuma ujumbe kwa ndugu