Taazia: Ibrahim Ajib afiwa na mkewe

Amavubi

JF-Expert Member
Joined
Dec 9, 2010
Posts
30,156
Reaction score
13,258

Picha ni Ibrahim Ajibu akiwa anaubusu Mpira ikiwa ni ishara ya kupata mtoto. ilikuwa mechi dhidi ya Ruvu shooting Raundi ya kwanza September 07 ambapo Simba walishinda Kwa mabao 2-1 mabao ya Ibrahim Ajibu na Laudit Mavugo . Baadae Mtoto wa Ajibu alifariki . Leo tena Simba imeshinda mabao 2-1 ajibu tena amefunga yule Mama wa yule Mtoto naye Amefariki Jana. R. I.
 
[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji144] [emoji144] [emoji144] [emoji144] [emoji779] [emoji779] [emoji779] [emoji779]
 
Dah Mungu ampe nguvu na marehemu apumzike kwa amani
 
inna lillag wainna ilaih raajiuun Allah akujaze moyo wa subira in shallah
 
Dah pole sana Ibrahim Ajib...Mungu akupe uvumilivu kipindi hiki kigumu. Huu mwezi sijui una majanga gani dah
 
jana nilimuona mtani wangu aliucheza mpira haswa, pole sana kwake na wana familia wote
 
Reactions: BAK
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…