4 7mbatizaji
JF-Expert Member
- Dec 8, 2019
- 8,406
- 9,619
Ndugu wanaJF na Watanzania kwa ujumla amani ya Mungu na ikawe juu yenu kila mmoja KWa imani yake.
Husika na mada tajwa hapo juu, Matabaka ya elimu Tanzania limekua zimwi linaloendelea kututafuna Kama watanzania hasa kwa vijana wetu katika level tofauti za elimu nchini hasa huku chini kwenye elimu ya Msingi ambapo ndo basic haswa.
Leo zipo shule za msingi za serikali na watu binafsi (primary english Medium) ila vijana wetu wanaohitimu huko la Saba ni Mbingu na aridhi, kwamba ni kwepesi mkuta mtoto alie kidato Cha kwanza hajui soma Wala kuandika toka shule zetu za serikali ila ni ngumu Kukutana na mtoto wa namna hii kutoka shule binafsi , ukiachana hata uwezo wa kujitambulisha tu kwa kingereza.
Wazee wetu walisoma mpaka la nne , la Saba ila hata leo ukikutana nao wanaweza wasiliana KWa lugha ya kingereza bila shida , Sasa leo tunakwama wapi kuwatengenezea watoto wetu misingi bora na iliyosawa KWa watoto wapitao shule za Serikali kuendana na Kama Sio kufanana na watoto wapitao shule binafsi?
Ikumbukwe shule za Serikali watoto wanaopitia huko ni kutoka kwenye familia maskini na duni ,hutokuta mtoto wa yeyote yule mwenye uwezo watoto wake wapo kule, na Sio kwamba hawataki bali uchumi ndo shida.
Mh Rais na Waziri wa elimu Tz mnaweza kufanya Jambo Ili kuleta angalau usawa katika elimu yetu ya msingi ambayo ndo basic, maana Sio lazima kila mtanzania afike chuo kikuu Ili fanikiwa kimaisha, ila ukimtengeneza kijana / mtoto anzia msingi ataenda pia kidato Cha kwanza akiwa anajua anaenda fanya nini, lakini hata katika maisha yake ya utafutaji unakua umemrahisishia Mambo mengi kuanzia mawasiliano nk.
Mpaka Sasa tunaona matatizo tunayokumbana nayo Kama taifa kutoka na mfumo wetu wa shule za msingi hasa za serikali leo MSUKUMA (Mbunge) ndo anaanza jifunza lugha ya mawasiliano ya kingereza pamoja na kwamba ana pesa na ni Mbunge ,hii haikubaliki
NINI TUFANYE KAMA TAIFA CHINI YAKO MH RAIS,
Napendekeza Sasa ikikupendeza tufanye mahamuzi Magumu ya elimu katika Taifa letu hasa kwenye shule za msingi za Serikali tanzania nzima KWa kuzibadili kuwa shule za
PRIMARY ENGLISH MEDIUM SCHOOL .hii itasadia kumpunguza Matabaka ya elimu nchini na inawezekana Kama zilivyo kuzibadilisha na maboresho mengine kuendelea fanyika taratibu.
Kufikia hatua hii napendekeza serikali Sasa kuanza ajiri KWa Kasi walimu wa mfumo huu Sasa hasa wa
BABY CLASS,MIDDLE CLASS, PRE UNIT, na walimu waliopo kwenye shule hizi waanze kupewa MAFUNZO kupitia Kanda ili kuweza endana na mfumo huu
Napendekeza mfumo huu mwaka 2024 January huwanze kufanya kazi maana walimu wapo,shule zipo, ila swala hapa ni kuongeza .
Niwashukuruni
Husika na mada tajwa hapo juu, Matabaka ya elimu Tanzania limekua zimwi linaloendelea kututafuna Kama watanzania hasa kwa vijana wetu katika level tofauti za elimu nchini hasa huku chini kwenye elimu ya Msingi ambapo ndo basic haswa.
Leo zipo shule za msingi za serikali na watu binafsi (primary english Medium) ila vijana wetu wanaohitimu huko la Saba ni Mbingu na aridhi, kwamba ni kwepesi mkuta mtoto alie kidato Cha kwanza hajui soma Wala kuandika toka shule zetu za serikali ila ni ngumu Kukutana na mtoto wa namna hii kutoka shule binafsi , ukiachana hata uwezo wa kujitambulisha tu kwa kingereza.
Wazee wetu walisoma mpaka la nne , la Saba ila hata leo ukikutana nao wanaweza wasiliana KWa lugha ya kingereza bila shida , Sasa leo tunakwama wapi kuwatengenezea watoto wetu misingi bora na iliyosawa KWa watoto wapitao shule za Serikali kuendana na Kama Sio kufanana na watoto wapitao shule binafsi?
Ikumbukwe shule za Serikali watoto wanaopitia huko ni kutoka kwenye familia maskini na duni ,hutokuta mtoto wa yeyote yule mwenye uwezo watoto wake wapo kule, na Sio kwamba hawataki bali uchumi ndo shida.
Mh Rais na Waziri wa elimu Tz mnaweza kufanya Jambo Ili kuleta angalau usawa katika elimu yetu ya msingi ambayo ndo basic, maana Sio lazima kila mtanzania afike chuo kikuu Ili fanikiwa kimaisha, ila ukimtengeneza kijana / mtoto anzia msingi ataenda pia kidato Cha kwanza akiwa anajua anaenda fanya nini, lakini hata katika maisha yake ya utafutaji unakua umemrahisishia Mambo mengi kuanzia mawasiliano nk.
Mpaka Sasa tunaona matatizo tunayokumbana nayo Kama taifa kutoka na mfumo wetu wa shule za msingi hasa za serikali leo MSUKUMA (Mbunge) ndo anaanza jifunza lugha ya mawasiliano ya kingereza pamoja na kwamba ana pesa na ni Mbunge ,hii haikubaliki
NINI TUFANYE KAMA TAIFA CHINI YAKO MH RAIS,
Napendekeza Sasa ikikupendeza tufanye mahamuzi Magumu ya elimu katika Taifa letu hasa kwenye shule za msingi za Serikali tanzania nzima KWa kuzibadili kuwa shule za
PRIMARY ENGLISH MEDIUM SCHOOL .hii itasadia kumpunguza Matabaka ya elimu nchini na inawezekana Kama zilivyo kuzibadilisha na maboresho mengine kuendelea fanyika taratibu.
Kufikia hatua hii napendekeza serikali Sasa kuanza ajiri KWa Kasi walimu wa mfumo huu Sasa hasa wa
BABY CLASS,MIDDLE CLASS, PRE UNIT, na walimu waliopo kwenye shule hizi waanze kupewa MAFUNZO kupitia Kanda ili kuweza endana na mfumo huu
Napendekeza mfumo huu mwaka 2024 January huwanze kufanya kazi maana walimu wapo,shule zipo, ila swala hapa ni kuongeza .
Niwashukuruni