Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kweli unachoongea ila mbona shule za secondary za private na Serikali zipo ?Wabadilishe ili shule zao zife.hujui kwenye hizi English medium ukiachilia za dini nyingi wanahisa zao?nenda pale kaizerege/Kemobos ndo utajua nani wamiliki.
Labda tu useme connection walizo nazo watoto wa matajiri na watu maarufu "kusaidiwa" na wazazi/ndugu zao.Uwezo utaonekana tu ila mbele ya safari katika kukimbizana na fulsa utofauti utakua mkubwa tu
Nakuelewa Sana mkuu , ila pamoja na kuwa vijana wetu wapo vizuri kichwani ila tukubali lugha ya malkia imekua ikiwaangusha Sana Katika fulsa za ushindani kwenye ajira ukiachana na zile za ndani ya nchi,Labda tu useme connection walizo nazo watoto wa matajiri na watu maarufu "kusaidiwa" na wazazi/ndugu zao.
Kivipi , kwamba tatizo la wazazi ni kukosa pesa za kuwapeleka watoto wao kwenye shule binafsi za msingi ambazo zimeonekana kuandaa vijana vizuri ? au tatizo ni uchumiTatizo linaanza kwa wazazi na siyo shuleni
Hakika kama vile Mbwana Samatt na Diamond PlatinumsUzuri talanta ya mtu haiamuliwi na umesoma serikalini au private.