Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Utanashati ni kujipenda binafsi,mwenzio kakuambia anapaka mafuta baada ya kuvaa nguo zoteMwanaume kupaka mafuta hadi matakoni hiyo ni dalili ya ushoga. Unamlainishia nani matako
Hata mimi napaka mafuta baada ya kuvaa boxer. Pia mwanaume kukaa uchi dakika tano baada ya kuoga hiyo ni dalili mbaya piaUtanashati ni kujipenda binafsi,mwenzio kakuambia anapaka mafuta baada ya kuvaa nguo zote
yavutie na yasituchubue mikomo
13. Kutafuna chakula kwa sauti wakati mwingine unaongea chakula kikiwa mdomoni.11.Kuongea Kwa Sauti Kubwa wakati huyo mtu unayeongea naye yupo karibu yako.
12.Kutosalimia watu nayo sio ustaraabu.
16.Kupenga Mikamasi wakati watu wanakula au Kutema mate pembeni wakati watu wanakula.13. Kutafuna chakula kwa sauti wakati mwingine unaongea chakula kikiwa mdomoni.
14. Kuna wale wanao koroma kama kuku mwenye vifaranga kama anavuta makohozi...huwa wanadai koo linawasha.
15. Kuvuta chai kama unakunywa uji
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Me huwa napaka mafuta baada ya kuvaa nguo, Hilo la makalio we na wenzako ndio mnaweza.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mwanaume kupaka mafuta hadi matakoni hiyo ni dalili ya ushoga. Unamlainishia nani matako