Tabia 10 mbaya ambazo haziendani na urembo na utanashati

kupaka kalio mafuta kawaida tu na kidume anaetaka kupaka yeye apake tu jambo zuri sana
Unachotafuta utakipata

Kwakweli mimi mtoa utanisamehe kupaka tako mafuta siwezi

Yani hua nataman hata kuyapaka vumbi basi tu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Unapakaje mafuta kwenye makalio mtoto wa kiume? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
joshydama, Point namba 2 inawahusu wanaume zaidi, mtu napiga mswaki dk 2 amemaliza, kuoga dk 3 ametoka bafuni[emoji15] [emoji15]
 
kupaka kalio mafuta kawaida tu na kidume anaetaka kupaka yeye apake tu jambo zuri sana
Unachotafuta utakipata

Kwakweli mimi mtoa utanisamehe kupaka tako mafuta siwezi

Yani hua nataman hata kuyapaka vumbi basi tu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

mbavu zangu😀😀eti kupaka vumbi
 
Mmh kupa mafuta matakoni mwisho wa utaanza kunyoa na lile v.u.z.i la m.k.u.n.d.u
 
Blaza suala la kupaga zaga mafuta ili iweje yan takosta liwe very clear hHahaha hiyo nshaipinga
 
11.Kuongea Kwa Sauti Kubwa wakati huyo mtu unayeongea naye yupo karibu yako.
12.Kutosalimia watu nayo sio ustaraabu.
Hiyo 11 aisee! Nilikuwa na mchumba wangu shombe la kiarabu/Msambaa kutoka Shinyanga ilibidi nimteme. Alikuwa akija Dar tukifuatana mitaani watu wote wanatutizama kwa sauti yake ilivo juu. Na accent yake ya Kisukuma basi nomaa!
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
13. Kutafuna chakula kwa sauti wakati mwingine unaongea chakula kikiwa mdomoni.
14. Kuna wale wanao koroma kama kuku mwenye vifaranga kama anavuta makohozi...huwa wanadai koo linawasha.
15. Kuvuta chai kama unakunywa uji

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hiyo 11 aisee! Nilikuwa na mchumba wangu shombe la kiarabu/Msambaa kutoka Shinyanga ilibidi nimteme. Alikuwa akija Dar tukifuatana mitaani watu wote wanatutizama kwa sauti yake ilivo juu. Na accent yake ya Kisukuma basi nomaa!
Namba zake tafadhal
 
hv ujasili wa kupangiana matumizi ya mikono yetu hasa swala la kupiga gitaa a.k.a kukuna p...mbu umeutoa wapi wewe ?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…