Tabia 10 mbaya ambazo haziendani na urembo na utanashati

Tabia 10 mbaya ambazo haziendani na urembo na utanashati

Yan kila mtu mwanaume kagoma No 9, yan sijui kwanini hampend paka mafuta kwa ujumla, utakuta mwingine kavaa kabisa anapaka mafuta sehemu zinazo onekana tu, tena wengine wanapaka sabuni badala ya mafuta
 
Teh teh kweli wewe hujakosea kujiita Quinton Canosa yaani umeiva kisanaa ,"tako mwanaume upake mafuta liwe laini "?
Halafu ?
 
Teh teh kweli wewe hujakosea kujiita Quinton Canosa yaani umeiva kisanaa ,"tako mwanaume upake mafuta liwe laini "?
Halafu ?
Halafu liliwe, hamna cha ziada, kazi ya tako kwa akina dada ni tofauti kwa akina kaka, kwa akina kaka ni kazi moja tu kutumika kama siti kuzuia maumivu ya mifupa ya kiuno baasi, kwa akina dada ni mengi mno ndomana hata mafuta linapakwa
 
Umeongea point sana, ila point ya 9 imeharibu point zote hapo juu.
 
Yan kila mtu mwanaume kagoma No 9, yan sijui kwanini hampend paka mafuta kwa ujumla, utakuta mwingine kavaa kabisa anapaka mafuta sehemu zinazo onekana tu, tena wengine wanapaka sabuni badala ya mafuta
kwani unapaka mafuta usoni ili iwaje
 
Yan kila mtu mwanaume kagoma No 9, yan sijui kwanini hampend paka mafuta kwa ujumla, utakuta mwingine kavaa kabisa anapaka mafuta sehemu zinazo onekana tu, tena wengine wanapaka sabuni badala ya mafuta
kwani unapaka mafuta usoni ili iwaje
 
No 9 umeweka upupu.

Mtoto wa kiume upake matako nafuta ili ugundue nini?
 
Mwanaume anapaka mafuta baada ya kuvaa boxer..kukaa uchi kwa dakika mbili tu baada ya kuoga ni kosa kubwa sana
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Hizi tabia za kijinga unapaka kalio futa ili umpendezeshee nani
 
Namba Tisa haijanifurahisha kabisa, upake mafuta makalioni ili iweje
 
Back
Top Bottom