Tabia 21 wanaume wa TZ

Tabia 21 wanaume wa TZ

Nilipanda treni kutoka Kigoma, Mule ndani inabidi uwepo Mahakama aisee
Umenikumbusha kuna dogo muha alikuwa mahakamani kwa kosa kubwa la jinai
Wakaanza kubishana na hakimu, Hakimu akamwambia hapohapo ulipo nimekuhukumu miaka 3 yule dogo akaruka tambo akamwambia na hapa mingapi [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Umenikumbusha kuna dogo muha alikuwa mahakamani kwa kosa kubwa la jinai
Wakaanza kubishana na hakimu, Hakimu akamwambia hapohapo ulipo nimekuhukumu miaka 3 yule dogo akaruka tambo akamwambia na hapa mingapi [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hapana, sisi wakurya ni wapole na wakarimu.

Hizo kashfa za ukatili tunazushiwa na watu wanaotumiwa na mabeberu.

Naomba muwapuuze, na ukikutana na mkurya tembea kifua "mbere".
 
Wanyakyusa umewaonea, mi jimegongwa sana na wanyaki sio chini ya sabini sijawahi kuona mwenye gov**i
Hao wa mjini[emoji28][emoji28][emoji28] nenda chunya, mbozi, kyela tukuyu ukaone

Ila nawe umejitahidi wanyaki tu 70+ makabila mengine je
 
Back
Top Bottom