Tabia 7 za watu waliokulia katika umasikini uliokithiri kisha wakafanikiwa ghafla

Tabia 7 za watu waliokulia katika umasikini uliokithiri kisha wakafanikiwa ghafla

Si ndo hao wakifulia huwa wanasema wamerogwa
 
Tabia ya mtu mmoja unaileta huku!
Kuna watu walikua masikini wa kutupwa lakini kadri hela inavyowakubali ndivyo hivyo wanakuwa na nidhamu katika nyanja zote.
 
That oldman from chattle possesses almost every single character you portrayed in this goddamit thread.
 
Mwalimu wangu Marehemu Dr. Masumbuko Lamwai, aliwahi kunambia katika kosa kubwa mtu anaweza kufanya ni "KUMPA UONGOZI MTU ALIETOKA KATIKA HALI DUNI KIMAISHA NA AMEPATA ELIMU YEYE PEKE YAKE KATIKA FAMILIA YAKE". Aliseongeza nyama katika sentesi yake baada ya kuona kaniacha njia panda kwasababu ya umri wangu kuwa mdogo, akanambia;

1) Mara nyingi watu hao hujijengea "KIBURI NA JEURI" katika maisha yao.

2) Huwa wanajiona kama "MUNGU WATU" na "KUJISAHAU SANA".

3) Huwa wanajiona "HAWAKOSEI" na wanachukizwa sana "KUKOSOLEWA".

4) Huwa wana "HULKA YA ROHO MBAYA", na kutopendezwa na maendeleo ya wenzao na watu wanaowazidi maarifa na elimu.

5) Huwa wana "UADUI KWA WATU NA KUTOKUAMINI WATU WENGINE".

6) Huongoza taasisi kama vile wanaongoza familia zao wanakotoka.

NB: Hii athari yote hutokana na "KUHESHIMIWA KUPITA KIASI, KUOGOPWA, KUSIKILIZWA SANA HATA WANAPOKOSEA NA KUTUKUZWA" katika familia masikini zao walizotoka.

Nlimwona labda anaongea kwasababu alikua amelewa (alikua mpenzi wa pombe kali). Ila kadri miaka inavyokwenda, naamini maneno yale.
Kuna mtu ulikua unamlenga ila naona ujapenda tu kumtaja
 
Moja kwa moja tuokoe muda maana zamani hizi watu wako bize sana na breaking nyuzzz.

1: Wanadhani utajiri ni kunyenyekewa na kila mtu.
Hawa utakuta bila kupiga Magoti Ndugu,kanisa,msikiti, masikini hapewi msaada.

2: Hofu ya kupoteza ni Kubwa kuliko hamasa ya kupata zaidi.
Hii ilimkuta msanii Jack Chein alipoingia Hollywood. Wenzake wakitumia nguo hawazirudii zinachukuliwa kwa ajili ya kusaidia watu. Yeye alikuwa anatunza hadi Nguo za ndani. Kumbuka alitokea China ambako hali ilikuwa mbovu kwa Sera mbovu za babu Yao Mao.

3: Wengi hawawezi kudumu katika hali ya utajiri. Watapambana kutumia hovyo hadi warudi katika umasikini bila kujua.Kumbuka Tyson alikuwa na msafara wa Magari na anasa za kila Aina. Ila ndani ya muda mfupi tu akawa masikini wa kutupwa, madeni anadaiwa kuliko mama wa uswahilini ambaye anadaiwa upatu na vikoba hadi anauziwa madera na wenzake.

4: wanaulimbukeni ambao haujali updates. Gari kwa sababu alinunua Benzi enzi zile nchi nzima wakiwa Wawili tu wenye benzi, basi hata leo ambapo kuna latest version ya Benzi atakomaa tu wakati watu wanamshangaa. Hii tabia alikuwa nayo Prof mmoja UDSM. Anaipenda pijoti yake balaa hadi foronya za siti zimeisha lakini haambiliki.

Kama alinunua suti milioni moja mwaka 90, hadi Leo atakomaa nayo tu hata kama ni bwaga kama zile suruali za ngongoti.

5: Wanaamini utajiri ni wake na sio yeye na familia. Utamkuta anazunguka kwenye mahoteli makubwa anakula vyakula vya thamani, wakati mkewe na watoto huko ni ugali mchicha. Nimewahi kwenda kwa bosi mmoja Mkubwa sana wakati wa msosi tunakula ugali sembe na dagaa zimechanganywa na mchicha. Hakuna matunda, juice wala jamaa halijali balanced diet. Tulikula wote yeye, mkewe, watoto na mfanyakazi. Ila jamaa lilikuwa linazuga tu, huko kazini limeshapakia mavitu ya maana .

6: Huwa ni malimbukeni. Kama alikuwa anasali/swali ataacha, kama alikuwa anapenda kusalimia washkaji anawapiga chini wote. Muda wote wanahisi kulogwalogwa tu.

7: hawana skills za kutafuta watu ambao watakuwa msaada siku wakiishiwa. Wanakuwa wamezungukwa na watu ambao wao wanadhani wanawandesha. Au wanawategemea. Ndio wale ambao wakifulia kila mtu anawakimbia. Anabaki na wale ambao hata akiomba 500 ya kununua dagaa Gengeni hawana. Watu wa maana huwa na connection na watu wa kila kada . hata wakiishiwa bado kuna watu wanaweza kumpa Mawazo,mtaji, njia ili asidhalilike.



Ni hayo tu.
Nimekaa sehemu nimetafakari nikasema ngoja nisikae na haya Maneno Kichwani niwatupie watu wanaofikiri nao wachakate
Ni kweli kabisa. Hata kwenye hii thread ulionesha jinsi ulivyo mweupe

 
Moja kwa moja tuokoe muda maana zamani hizi watu wako bize sana na breaking nyuzzz.

1: Wanadhani utajiri ni kunyenyekewa na kila mtu.
Hawa utakuta bila kupiga Magoti Ndugu,kanisa,msikiti, masikini hapewi msaada.

2: Hofu ya kupoteza ni Kubwa kuliko hamasa ya kupata zaidi.
Hii ilimkuta msanii Jack Chein alipoingia Hollywood. Wenzake wakitumia nguo hawazirudii zinachukuliwa kwa ajili ya kusaidia watu. Yeye alikuwa anatunza hadi Nguo za ndani. Kumbuka alitokea China ambako hali ilikuwa mbovu kwa Sera mbovu za babu Yao Mao.

3: Wengi hawawezi kudumu katika hali ya utajiri. Watapambana kutumia hovyo hadi warudi katika umasikini bila kujua.Kumbuka Tyson alikuwa na msafara wa Magari na anasa za kila Aina. Ila ndani ya muda mfupi tu akawa masikini wa kutupwa, madeni anadaiwa kuliko mama wa uswahilini ambaye anadaiwa upatu na vikoba hadi anauziwa madera na wenzake.

4: wanaulimbukeni ambao haujali updates. Gari kwa sababu alinunua Benzi enzi zile nchi nzima wakiwa Wawili tu wenye benzi, basi hata leo ambapo kuna latest version ya Benzi atakomaa tu wakati watu wanamshangaa. Hii tabia alikuwa nayo Prof mmoja UDSM. Anaipenda pijoti yake balaa hadi foronya za siti zimeisha lakini haambiliki.

Kama alinunua suti milioni moja mwaka 90, hadi Leo atakomaa nayo tu hata kama ni bwaga kama zile suruali za ngongoti.

5: Wanaamini utajiri ni wake na sio yeye na familia. Utamkuta anazunguka kwenye mahoteli makubwa anakula vyakula vya thamani, wakati mkewe na watoto huko ni ugali mchicha. Nimewahi kwenda kwa bosi mmoja Mkubwa sana wakati wa msosi tunakula ugali sembe na dagaa zimechanganywa na mchicha. Hakuna matunda, juice wala jamaa halijali balanced diet. Tulikula wote yeye, mkewe, watoto na mfanyakazi. Ila jamaa lilikuwa linazuga tu, huko kazini limeshapakia mavitu ya maana .

6: Huwa ni malimbukeni. Kama alikuwa anasali/swali ataacha, kama alikuwa anapenda kusalimia washkaji anawapiga chini wote. Muda wote wanahisi kulogwalogwa tu.

7: hawana skills za kutafuta watu ambao watakuwa msaada siku wakiishiwa. Wanakuwa wamezungukwa na watu ambao wao wanadhani wanawandesha. Au wanawategemea. Ndio wale ambao wakifulia kila mtu anawakimbia. Anabaki na wale ambao hata akiomba 500 ya kununua dagaa Gengeni hawana. Watu wa maana huwa na connection na watu wa kila kada . hata wakiishiwa bado kuna watu wanaweza kumpa Mawazo,mtaji, njia ili asidhalilike.



Ni hayo tu.
Nimekaa sehemu nimetafakari nikasema ngoja nisikae na haya Maneno Kichwani niwatupie watu wanaofikiri nao wachakate
Kumaliza mkuu
 
Mwalimu wangu Marehemu Dr. Masumbuko Lamwai, aliwahi kunambia katika kosa kubwa mtu anaweza kufanya ni "KUMPA UONGOZI MTU ALIETOKA KATIKA HALI DUNI KIMAISHA NA AMEPATA ELIMU YEYE PEKE YAKE KATIKA FAMILIA YAKE". Aliseongeza nyama katika sentesi yake baada ya kuona kaniacha njia panda kwasababu ya umri wangu kuwa mdogo, akanambia;

1) Mara nyingi watu hao hujijengea "KIBURI NA JEURI" katika maisha yao.

2) Huwa wanajiona kama "MUNGU WATU" na "KUJISAHAU SANA".

3) Huwa wanajiona "HAWAKOSEI" na wanachukizwa sana "KUKOSOLEWA".

4) Huwa wana "HULKA YA ROHO MBAYA", na kutopendezwa na maendeleo ya wenzao na watu wanaowazidi maarifa na elimu.

5) Huwa wana "UADUI KWA WATU NA KUTOKUAMINI WATU WENGINE".

6) Huongoza taasisi kama vile wanaongoza familia zao wanakotoka.

NB: Hii athari yote hutokana na "KUHESHIMIWA KUPITA KIASI, KUOGOPWA, KUSIKILIZWA SANA HATA WANAPOKOSEA NA KUTUKUZWA" katika familia masikini zao walizotoka.

Nlimwona labda anaongea kwasababu alikua amelewa (alikua mpenzi wa pombe kali). Ila kadri miaka inavyokwenda, naamini maneno yale.
Uko sahihi kabisa na kama wewe ulikuwa kwenu mnajiweza na ukawa unamsaidia pindi yupo kwenye umasikini ki roho safi tu basi wewe ndo atakunyanyasa mpaka utakoma!...yaani wewe wakati unamsaidia yeye alikuwa anakufingia kwamba ngoja na mimi nipate atanikoma!!...kukulia kwenye umasikini ni kazi sana!...si mnaona nchi inavyoenda
 
Moja kwa moja tuokoe muda maana zamani hizi watu wako bize sana na breaking nyuzzz.

1: Wanadhani utajiri ni kunyenyekewa na kila mtu.
Hawa utakuta bila kupiga Magoti Ndugu,kanisa,msikiti, masikini hapewi msaada.

2: Hofu ya kupoteza ni Kubwa kuliko hamasa ya kupata zaidi.
Hii ilimkuta msanii Jack Chein alipoingia Hollywood. Wenzake wakitumia nguo hawazirudii zinachukuliwa kwa ajili ya kusaidia watu. Yeye alikuwa anatunza hadi Nguo za ndani. Kumbuka alitokea China ambako hali ilikuwa mbovu kwa Sera mbovu za babu Yao Mao.

3: Wengi hawawezi kudumu katika hali ya utajiri. Watapambana kutumia hovyo hadi warudi katika umasikini bila kujua.Kumbuka Tyson alikuwa na msafara wa Magari na anasa za kila Aina. Ila ndani ya muda mfupi tu akawa masikini wa kutupwa, madeni anadaiwa kuliko mama wa uswahilini ambaye anadaiwa upatu na vikoba hadi anauziwa madera na wenzake.

4: wanaulimbukeni ambao haujali updates. Gari kwa sababu alinunua Benzi enzi zile nchi nzima wakiwa Wawili tu wenye benzi, basi hata leo ambapo kuna latest version ya Benzi atakomaa tu wakati watu wanamshangaa. Hii tabia alikuwa nayo Prof mmoja UDSM. Anaipenda pijoti yake balaa hadi foronya za siti zimeisha lakini haambiliki.

Kama alinunua suti milioni moja mwaka 90, hadi Leo atakomaa nayo tu hata kama ni bwaga kama zile suruali za ngongoti.

5: Wanaamini utajiri ni wake na sio yeye na familia. Utamkuta anazunguka kwenye mahoteli makubwa anakula vyakula vya thamani, wakati mkewe na watoto huko ni ugali mchicha. Nimewahi kwenda kwa bosi mmoja Mkubwa sana wakati wa msosi tunakula ugali sembe na dagaa zimechanganywa na mchicha. Hakuna matunda, juice wala jamaa halijali balanced diet. Tulikula wote yeye, mkewe, watoto na mfanyakazi. Ila jamaa lilikuwa linazuga tu, huko kazini limeshapakia mavitu ya maana .

6: Huwa ni malimbukeni. Kama alikuwa anasali/swali ataacha, kama alikuwa anapenda kusalimia washkaji anawapiga chini wote. Muda wote wanahisi kulogwalogwa tu.

7: hawana skills za kutafuta watu ambao watakuwa msaada siku wakiishiwa. Wanakuwa wamezungukwa na watu ambao wao wanadhani wanawandesha. Au wanawategemea. Ndio wale ambao wakifulia kila mtu anawakimbia. Anabaki na wale ambao hata akiomba 500 ya kununua dagaa Gengeni hawana. Watu wa maana huwa na connection na watu wa kila kada . hata wakiishiwa bado kuna watu wanaweza kumpa Mawazo,mtaji, njia ili asidhalilike.



Ni hayo tu.
Nimekaa sehemu nimetafakari nikasema ngoja nisikae na haya Maneno Kichwani niwatupie watu wanaofikiri nao wachakate
acha upumbafu waza maisha yako jombaaa yanini kuwasema watu na kujadili maisha ya wenzako wakati yako yanakushinda. Mtu mwenye akili timamu hawezi kuandika pumba kama hizi za kujadili maisha ya watu. Waza maisha yako yatakushinda. Badala ya kuwekeza akili yako kwenye kuwasema watu ni Bora uwekeze kwenye kwenye maisha yako
 
Ni kweli kabisa. Hata kunye hii thread ulionesha jinsi ulivyo mweupe

Mmenifungia Uzi wangu nilikuwa natoa darasa pale bila Malipo.

Hofu hofu na kupenda kufa kufa sio ishu. Jf siasa tunalazimishwa kufikiri kiufipaufipa tu. Wadau Hamna stamina ya kujadili hoja msizozipenda hahahah

Nimeshangaa tu thread closed.
 
acha upumbafu waza maisha yako jombaaa yanini kuwasema watu na kujadili maisha ya wenzako wakati yako yanakushinda. Mtu mwenye akili timamu hawezi kuandika pumba kama hizi za kujadili maisha ya watu. Waza maisha yako yatakushinda. Badala ya kuwekeza akili yako kwenye kuwasema watu ni Bora uwekeze kwenye kwenye maisha yako
Usipanic bro.
Hata kupoteza napo ni kucomment.
 
Ogopa sana ukute ndo maisha yanaanza kuchanganya, na kanunua IST yake hahaha, Mimi nilinunua Toyota wish nilitamani barabara nzima wanaiangalie mimi nina gari pia [emoji23][emoji23]
 
Mwalimu wangu Marehemu Dr. Masumbuko Lamwai, aliwahi kunambia katika kosa kubwa mtu anaweza kufanya ni "KUMPA UONGOZI MTU ALIETOKA KATIKA HALI DUNI KIMAISHA NA AMEPATA ELIMU YEYE PEKE YAKE KATIKA FAMILIA YAKE". Aliseongeza nyama katika sentesi yake baada ya kuona kaniacha njia panda kwasababu ya umri wangu kuwa mdogo, akanambia;

1) Mara nyingi watu hao hujijengea "KIBURI NA JEURI" katika maisha yao.

2) Huwa wanajiona kama "MUNGU WATU" na "KUJISAHAU SANA".

3) Huwa wanajiona "HAWAKOSEI" na wanachukizwa sana "KUKOSOLEWA".

4) Huwa wana "HULKA YA ROHO MBAYA", na kutopendezwa na maendeleo ya wenzao na watu wanaowazidi maarifa na elimu.

5) Huwa wana "UADUI KWA WATU NA KUTOKUAMINI WATU WENGINE".

6) Huongoza taasisi kama vile wanaongoza familia zao wanakotoka.

NB: Hii athari yote hutokana na "KUHESHIMIWA KUPITA KIASI, KUOGOPWA, KUSIKILIZWA SANA HATA WANAPOKOSEA NA KUTUKUZWA" katika familia masikini zao walizotoka.

Nlimwona labda anaongea kwasababu alikua amelewa (alikua mpenzi wa pombe kali). Ila kadri miaka inavyokwenda, naamini maneno yale.
Mbona sifa zote hizi zinamgusa jirani yetu mmoja kule Chato..mzee mmoja mfupi ana kipara
 
Mwalimu wangu Marehemu Dr. Masumbuko Lamwai, aliwahi kunambia katika kosa kubwa mtu anaweza kufanya ni "KUMPA UONGOZI MTU ALIETOKA KATIKA HALI DUNI KIMAISHA NA AMEPATA ELIMU YEYE PEKE YAKE KATIKA FAMILIA YAKE". Aliseongeza nyama katika sentesi yake baada ya kuona kaniacha njia panda kwasababu ya umri wangu kuwa mdogo, akanambia;

1) Mara nyingi watu hao hujijengea "KIBURI NA JEURI" katika maisha yao.

2) Huwa wanajiona kama "MUNGU WATU" na "KUJISAHAU SANA".

3) Huwa wanajiona "HAWAKOSEI" na wanachukizwa sana "KUKOSOLEWA".

4) Huwa wana "HULKA YA ROHO MBAYA", na kutopendezwa na maendeleo ya wenzao na watu wanaowazidi maarifa na elimu.

5) Huwa wana "UADUI KWA WATU NA KUTOKUAMINI WATU WENGINE".

6) Huongoza taasisi kama vile wanaongoza familia zao wanakotoka.

NB: Hii athari yote hutokana na "KUHESHIMIWA KUPITA KIASI, KUOGOPWA, KUSIKILIZWA SANA HATA WANAPOKOSEA NA KUTUKUZWA" katika familia masikini zao walizotoka.

Nlimwona labda anaongea kwasababu alikua amelewa (alikua mpenzi wa pombe kali). Ila kadri miaka inavyokwenda, naamini maneno yale.
Si umtaje tu
 
Moja kwa moja tuokoe muda maana zamani hizi watu wako bize sana na breaking nyuzzz.

1: Wanadhani utajiri ni kunyenyekewa na kila mtu.
Hawa utakuta bila kupiga Magoti Ndugu,kanisa,msikiti, masikini hapewi msaada.

2: Hofu ya kupoteza ni Kubwa kuliko hamasa ya kupata zaidi.
Hii ilimkuta msanii Jack Chein alipoingia Hollywood. Wenzake wakitumia nguo hawazirudii zinachukuliwa kwa ajili ya kusaidia watu. Yeye alikuwa anatunza hadi Nguo za ndani. Kumbuka alitokea China ambako hali ilikuwa mbovu kwa Sera mbovu za babu Yao Mao.

3: Wengi hawawezi kudumu katika hali ya utajiri. Watapambana kutumia hovyo hadi warudi katika umasikini bila kujua.Kumbuka Tyson alikuwa na msafara wa Magari na anasa za kila Aina. Ila ndani ya muda mfupi tu akawa masikini wa kutupwa, madeni anadaiwa kuliko mama wa uswahilini ambaye anadaiwa upatu na vikoba hadi anauziwa madera na wenzake.

4: wanaulimbukeni ambao haujali updates. Gari kwa sababu alinunua Benzi enzi zile nchi nzima wakiwa Wawili tu wenye benzi, basi hata leo ambapo kuna latest version ya Benzi atakomaa tu wakati watu wanamshangaa. Hii tabia alikuwa nayo Prof mmoja UDSM. Anaipenda pijoti yake balaa hadi foronya za siti zimeisha lakini haambiliki.

Kama alinunua suti milioni moja mwaka 90, hadi Leo atakomaa nayo tu hata kama ni bwaga kama zile suruali za ngongoti.

5: Wanaamini utajiri ni wake na sio yeye na familia. Utamkuta anazunguka kwenye mahoteli makubwa anakula vyakula vya thamani, wakati mkewe na watoto huko ni ugali mchicha. Nimewahi kwenda kwa bosi mmoja Mkubwa sana wakati wa msosi tunakula ugali sembe na dagaa zimechanganywa na mchicha. Hakuna matunda, juice wala jamaa halijali balanced diet. Tulikula wote yeye, mkewe, watoto na mfanyakazi. Ila jamaa lilikuwa linazuga tu, huko kazini limeshapakia mavitu ya maana .

6: Huwa ni malimbukeni. Kama alikuwa anasali/swali ataacha, kama alikuwa anapenda kusalimia washkaji anawapiga chini wote. Muda wote wanahisi kulogwalogwa tu.

7: hawana skills za kutafuta watu ambao watakuwa msaada siku wakiishiwa. Wanakuwa wamezungukwa na watu ambao wao wanadhani wanawandesha. Au wanawategemea. Ndio wale ambao wakifulia kila mtu anawakimbia. Anabaki na wale ambao hata akiomba 500 ya kununua dagaa Gengeni hawana. Watu wa maana huwa na connection na watu wa kila kada . hata wakiishiwa bado kuna watu wanaweza kumpa Mawazo,mtaji, njia ili asidhalilike.



Ni hayo tu.
Nimekaa sehemu nimetafakari nikasema ngoja nisikae na haya Maneno Kichwani niwatupie watu wanaofikiri nao wachakate
Wewe jamaa hbr zako jiwe anazo tayari.
 
Mwalimu wangu Marehemu Dr. Masumbuko Lamwai, aliwahi kunambia katika kosa kubwa mtu anaweza kufanya ni "KUMPA UONGOZI MTU ALIETOKA KATIKA HALI DUNI KIMAISHA NA AMEPATA ELIMU YEYE PEKE YAKE KATIKA FAMILIA YAKE". Aliseongeza nyama katika sentesi yake baada ya kuona kaniacha njia panda kwasababu ya umri wangu kuwa mdogo, akanambia;

1) Mara nyingi watu hao hujijengea "KIBURI NA JEURI" katika maisha yao.

2) Huwa wanajiona kama "MUNGU WATU" na "KUJISAHAU SANA".

3) Huwa wanajiona "HAWAKOSEI" na wanachukizwa sana "KUKOSOLEWA".

4) Huwa wana "HULKA YA ROHO MBAYA", na kutopendezwa na maendeleo ya wenzao na watu wanaowazidi maarifa na elimu.

5) Huwa wana "UADUI KWA WATU NA KUTOKUAMINI WATU WENGINE".

6) Huongoza taasisi kama vile wanaongoza familia zao wanakotoka.

NB: Hii athari yote hutokana na "KUHESHIMIWA KUPITA KIASI, KUOGOPWA, KUSIKILIZWA SANA HATA WANAPOKOSEA NA KUTUKUZWA" katika familia masikini zao walizotoka.

Nlimwona labda anaongea kwasababu alikua amelewa (alikua mpenzi wa pombe kali). Ila kadri miaka inavyokwenda, naamini maneno yale.
5 star appreciation


Ila LAMWAI dah.(I had memories with )
 
Back
Top Bottom