Gidbang
JF-Expert Member
- Jun 1, 2014
- 4,482
- 3,999
HAaaaa kama viongozi wa nchi za kiafrica wanakuwa majinias gafla8. Huwa wanafikiri ukiwa tajiri basi na uelewa na akili zinakuja automatically. Kila kitu atajidai kujua.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
HAaaaa kama viongozi wa nchi za kiafrica wanakuwa majinias gafla8. Huwa wanafikiri ukiwa tajiri basi na uelewa na akili zinakuja automatically. Kila kitu atajidai kujua.
Uko sahihi, kesi zote bado zinaweza kutokea kotekote.Hiyo namba 4 no labda ungeifafanua zaidi lkn kwa namna ulivyoandika hiyo ni tabia tu na mapenzi ya mtu kwa kitu fulani sio kwa alietoka katika wimbi la umasikini kuwa na tabia hiyo..
Hasa Watajiri walikua wafugajiMoja kwa moja tuokoe muda maana zamani hizi watu wako bize sana na breaking nyuzzz....
we unaongelea tabia za watu tu za kawaida na si waliotoka kwenye umasikini pekeeMoja kwa moja tuokoe muda maana zamani hizi watu wako bize sana na breaking nyuzzz...
Mbona unamsema rais wewe Ebo!![emoji2]Mwalimu wangu Marehemu Dr. Masumbuko Lamwai, aliwahi kunambia katika kosa kubwa mtu anaweza kufanya ni "KUMPA UONGOZI MTU ALIETOKA KATIKA HALI DUNI KIMAISHA NA AMEPATA ELIMU YEYE PEKE YAKE KATIKA FAMILIA YAKE". Aliseongeza nyama katika sentesi yake baada ya kuona kaniacha njia panda kwasababu ya umri wangu kuwa mdogo, akanambia...