Tabia 7 za watu waliokulia katika umasikini uliokithiri kisha wakafanikiwa ghafla

Si ndo hao wakifulia huwa wanasema wamerogwa
 
Tabia ya mtu mmoja unaileta huku!
Kuna watu walikua masikini wa kutupwa lakini kadri hela inavyowakubali ndivyo hivyo wanakuwa na nidhamu katika nyanja zote.
 
That oldman from chattle possesses almost every single character you portrayed in this goddamit thread.
 
Kuna mtu ulikua unamlenga ila naona ujapenda tu kumtaja
 
Ni kweli kabisa. Hata kwenye hii thread ulionesha jinsi ulivyo mweupe

 
Kumaliza mkuu
 
Uko sahihi kabisa na kama wewe ulikuwa kwenu mnajiweza na ukawa unamsaidia pindi yupo kwenye umasikini ki roho safi tu basi wewe ndo atakunyanyasa mpaka utakoma!...yaani wewe wakati unamsaidia yeye alikuwa anakufingia kwamba ngoja na mimi nipate atanikoma!!...kukulia kwenye umasikini ni kazi sana!...si mnaona nchi inavyoenda
 
acha upumbafu waza maisha yako jombaaa yanini kuwasema watu na kujadili maisha ya wenzako wakati yako yanakushinda. Mtu mwenye akili timamu hawezi kuandika pumba kama hizi za kujadili maisha ya watu. Waza maisha yako yatakushinda. Badala ya kuwekeza akili yako kwenye kuwasema watu ni Bora uwekeze kwenye kwenye maisha yako
 
Mmenifungia Uzi wangu nilikuwa natoa darasa pale bila Malipo.

Hofu hofu na kupenda kufa kufa sio ishu. Jf siasa tunalazimishwa kufikiri kiufipaufipa tu. Wadau Hamna stamina ya kujadili hoja msizozipenda hahahah

Nimeshangaa tu thread closed.
 
Usipanic bro.
Hata kupoteza napo ni kucomment.
 
Ogopa sana ukute ndo maisha yanaanza kuchanganya, na kanunua IST yake hahaha, Mimi nilinunua Toyota wish nilitamani barabara nzima wanaiangalie mimi nina gari pia [emoji23][emoji23]
 
Mbona sifa zote hizi zinamgusa jirani yetu mmoja kule Chato..mzee mmoja mfupi ana kipara
 
Si umtaje tu
 
Wewe jamaa hbr zako jiwe anazo tayari.
 
5 star appreciation


Ila LAMWAI dah.(I had memories with )
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…