Tabia ambazo sijawahi kuzizoea nikimuona mwanaume anafanya

Duuh naona unatafta kujikojolea mbele za wa2 SS [emoji23][emoji23][emoji23]
Wala hukojoi. Sema mimi nilikua nanywea ndani nikishawaka napanda kitandani nalala.
 
Mwanaume kula chips mayai
Kunywa savana/wine ya St. Anna
Mwanaume kupenda/kuimba nyimbo za taarabu
Mwanaume kulipiwa bill na wanaume wenzake mezani.

Nimeona mkaka anakula chips mayai kanipa mawazo sana.
Hahahaha, Mzigua una vituko! Chips si chakula jamani? sasa kma hapo Dar hata hapo Tanga unatarajia ale nini? Lakini kuhusu St. Anna, ni nzuri kama unakunywa ikupe appetite ya kula. But kulipiwa bili mezani, yaani ilikuwaje kwamba hakuwa na pesa au???
 
Mfano,Mwanamke anatakiwa anywe hivi,sio kakamata beer mkononi kama mwanamme,halafu akenda chooni nyapu inanuka beerπŸ˜‰
 
Mwanaume kula chips mayai
Kunywa savana/wine ya St. Anna
Mwanaume kupenda/kuimba nyimbo za taarabu
Mwanaume kulipiwa bill na wanaume wenzake mezani.

Nimeona mkaka anakula chips mayai kanipa mawazo sana.
Hahaha wanaume walegevu, wasiojitambua.
 
Na Mimi Nina tabia nisizopenda Kwa wanawake...mnafika nae geto mmekaa nae kitandani anauliza unataka kufanya nini? Mimi huwa nawajibu nataka kufua nguo pale kitandani.[emoji23] [emoji23]
Hahahahahaha......hapana mkuu wewe mwambie unataka kumuangusa lakini sambi sake mwenyewe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…