Tabia ambazo sijawahi kuzizoea nikimuona mwanaume anafanya

Hahahaha, Mzigua una vituko! Chips si chakula jamani? sasa kma hapo Dar hata hapo Tanga unatarajia ale nini? Lakini kuhusu St. Anna, ni nzuri kama unakunywa ikupe appetite ya kula. But kulipiwa bili mezani, yaani ilikuwaje kwamba hakuwa na pesa au???
Hata kama mtu anayo anataka alipiwe tu na mwanaume mwenzie. Huwezi muona akilipa bili hata siku moja labda awe peke yake
 
Mkuu nyapu ni nini?
Hahahaha Mkuu,hiyo kitu ina majina mengi,lakini wanaume tunaipenda sana ikinuka harufu ya bia haipendezi,sijui kwenu inaiita nini...iko chini ya miguu ya mwanamke,haiko mbali sana na tigo,ukweli wenyewe mwanamke akiinama unaviona vyote viwili nyapu na tigo 😀😀
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…