Mzee Kigogo
JF-Expert Member
- Jun 3, 2018
- 9,968
- 16,680
Eeeh! Ndio hivyo....kwakweli!
DuuuuWANAUME WA DAR WANAGEGEDWA
π π π π nyinyi mtuWe mkuu me beer ndio kinywaji changu yani hapo umeitaja mate yamenitoka
sasa huyu ndo anaharibu kazi.Basi kula chips yai weka pembeni. Kuna mkaka ofisini anakulaga chips na yai teketeke.
Mimi nashangazwa zaidi na mwanamke anaekunywa CIDER (savanna). Nimezoea kuona inanywewa sana na homeless. Mbaya zaidi Cider hio wanakunywa kwenye glass ya wine badala ya pint glass full of ice!Mwanaume kula chips mayai
Kunywa savana/wine ya St. Anna
Mwanaume kupenda/kuimba nyimbo za taarabu
Mwanaume kulipiwa bill na wanaume wenzake mezani.
Nimeona mkaka anakula chips mayai kanipa mawazo sana.
Uko kama mimi.....mi nikiona ke anakunywa mibia, au anavuta sigara ntamshangaa mpaka basi!yani zimekaa za kazi sana. Kama konyagi. Mwanamke akinywa konyagi namshangaa moyoni.
Haaaaahaaaaaa.....kuna kitu nimekumbukaaMwanaume kuweka mauwa wasap profile pic
Nimeuliza tu mkuundio..kwanini
π π π π nyinyi mtu
Naona anampigia promo mtakatifu Anna π± π±siku akinywa atawehuka ukute!
Ahaaaaahaaaa...mwanamke akianza kuvuta na mifegi huyo ni full kwishnei!kaka hiyo sigara ndio usiseme,mwanamke akivuta sigara ukijaribu kumkiss ni sawa ka kukiss "ashtray...
hahhha au alisawah kuonja!si bureNaona anampigia promo mtakatifu Anna π± π±
Labdaahahhha au alisawah kuonja!si bure