Tabia ambazo sijawahi kuzizoea nikimuona mwanaume anafanya

Sasa kama nasikia njaa na zege lipo around, kwann nisile
 
Mwanaume kula chips mayai
Kunywa savana/wine ya St. Anna
Mwanaume kupenda/kuimba nyimbo za taarabu
Mwanaume kulipiwa bill na wanaume wenzake mezani.

Nimeona mkaka anakula chips mayai kanipa mawazo sana.
Mimi nashangazwa zaidi na mwanamke anaekunywa CIDER (savanna). Nimezoea kuona inanywewa sana na homeless. Mbaya zaidi Cider hio wanakunywa kwenye glass ya wine badala ya pint glass full of ice!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…