Tabia ambazo sijawahi kuzizoea nikimuona mwanaume anafanya

Mara zote unalipia? Kwa mfano wale washkaji ambao kila weekend mnaonana kuanzia ijumaa. Unalipa siku zote? Mi najua mwanamke ndo analipiwa bill sio mwanaume.
Hapana ni mzunguko,leo nikilipa mimi kesho au siku nyingine analipa mwingine.
 
Mwanaume kula chips mayai
Kunywa savana/wine ya St. Anna
Mwanaume kupenda/kuimba nyimbo za taarabu
Mwanaume kulipiwa bill na wanaume wenzake mezani.

Nimeona mkaka anakula chips mayai kanipa mawazo sana.
Leo nikilipa mimi,siku nyingine analipa mwingine inazunguka.
Sasa imagine jana umelipa wewe leo zamu yangu nalipa halafu Mzigua90 yupo pembeni anakuona wale wale anaowazungumzia.
 
Mimi uwa nikiona mdada anapiga kitu safari basi najua huyu unagusa taratibu na haihitaji nguvu nyingi[emoji23] [emoji23] [emoji23]
Nan kasema?? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Sasa imagine jana umelipa wewe leo zamu yangu nalipa halafu Mzigua90 yupo pembeni anakuona wale wale anaowazungumzia.
Hapana hiyo kulipiwa ni kama kila siku naona hulipi. Sio mara moja tu jamani
 

Kwahiyo kilichokukera wewe,ni kula chenza,au kula hadharani?
 
Mwanaume kula chips mayai
Kunywa savana/wine ya St. Anna
Mwanaume kupenda/kuimba nyimbo za taarabu
Mwanaume kulipiwa bill na wanaume wenzake mezani.

Nimeona mkaka anakula chips mayai kanipa mawazo sana.
Nina siku nyingi sijala kiepe yai. Umenikumbusha itabidi nile leo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…