Tabia ambazo sijawahi kuzizoea nikimuona mwanaume anafanya

Kwani wine ni za wanawake tu? Unless ufanye specifications za wines gani sio masculine, lakini mvinyo unanywewa na jinsia zote.
St Anna. Kuna wine nzito mwanaume akinywa wala sio ajabu. Ila st Anna mmh
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wanaume mkuje
Tupo
 
Yani St Anna imekaa kike sana.
Mzigua bwana, sio mtaalamu lakini hivi vinywaji vina mda wake wa kutumia, shida yetu kubwa mtu anataka anywe saint Anna chupa yote at per.

A glass of wine after lunch, regardless aina gani is not a big deal. (Situmii hiyo Anna, ila nawasemea wanaokunywa, don't attack me[emoji16])
 
mimi ni mwanaume nahitaji kujua majina ya wine isiyo kuwa na kilevi yani divai/mvinyo halisi usio tiwa chachu.

kama vipi rejea enzi za Yesu huko watu walipiga divai kama kawa
 
Kwa kweli na mimi naungana na wewe huyu dada inabidi wanaume wa Dar wamfungie kazi. Katutukania wanaume wetu
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] huoni kichambo kimeshaanza kutoka
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]. Sema wanachamba kistaarabu sio wale wenye maneno ya shombo
 
Kwa hyo mwanaumew kula chenza Hadharani ni Taboo nowdayays [emoji23][emoji15][emoji29][emoji15][emoji15]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…