Tabia ambazo sijawahi kuzizoea nikimuona mwanaume anafanya

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]. Sema wanachamba kistaarabu sio wale wenye maneno ya shombo
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
mpo bar raha sana mwanaume kuagiza ugali dona, nyama choma,firigisi au dona kuku/mbuzi !na raha zaidi mwanaume amalize fast kile chakula(mm hua napenda men anayekula msosi wote tena kwa haraka) akimaliza hapo ndo aanze kunibembeleza mbiti mbn huli (nakulaga taratibu sana!)(hapo na mm nimeagza chips kuku/maini/mshkaki!awe anadokoa kidg dogo kunipa kampan!

au la!tukiagza wote ngama(ugali) bas yy amalize fastaa!
akimaliza anywe maji mengi!...
km mnywaji aanze kunywa!

binafsi ht akikunong'oneza msepe unajua HAPA KADHI TUU!lol
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] utakuja upigwe siku
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Sasa si tunakunywa tuwe high sio kwa afya. Mi mwenyewe Wine glass mbili uzungu huo siwezi. Chupa mbili hivii ndo naona hapa kweli nimekunywa wine
 
Mwanaume kula chips mayai
Kunywa savana/wine ya St. Anna
Mwanaume kupenda/kuimba nyimbo za taarabu
Mwanaume kulipiwa bill na wanaume wenzake mezani.

Nimeona mkaka anakula chips mayai kanipa mawazo sana.
Ukiona hivyo basi ujuwe kuwa nao ni vyombo vya starehe
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Nimecheka sana na wala haujakosea kumwambia
hahahahah niambie Shunie wangu. ahahahahahah. hivi kweli kama "kanoga" halafu anaanza kumenya chenza kwenye daladala anakula.hahahahahaha. kwanza ile harufu ya chenza imebaki mikononi mwake. hahahaha
 
Sasa si tunakunywa tuwe high sio kwa afya. Mi mwenyewe Wine glass mbili uzungu huo siwezi. Chupa mbili hivii ndo naona hapa kweli nimekunywa wine
Dah, chupa mbili za wine? Teh teh...
Kuna wine zipo kwa ajili ya kushushia na msosi best, St. Anna ikiwemo, na zingine ili tulewe.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…