Tabia ambazo sijawahi kuzizoea nikimuona mwanaume anafanya

Kwa kweli na mimi naungana na wewe huyu dada inabidi wanaume wa Dar wamfungie kazi. Katutukania wanaume wetu
Sijui niuze mazao yangu kwa hasara huku Nanjilinji nije Dar niwasaidie hao wanaume nimtafute miss nimtom*be usiku kucha bao 12 then hadi la 13 litoke upepo tu?

Anawasumbua sana wanaume wa Dar.. they need to he represented.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]. Mwanaume anakula chips yai legelege utegemee kazi ya kukata na shoka nani kasemaa. Ila mtu ale ugali na nyama ya kuchoma unamtamani ghafla tu
 
hahahha, mimi nishahisi dalili mbaya za huu mdomo wangu, utanisababishia nipewe kipondo cha haja. hahahahahahaahah
Ipo siku yako nakwambia. Na vile wenye midomo hatunaga nguvu sipati picha mbio utakazotoka
 
Kwani chenza na chungwa tafauti yao nini...?Sema mwanamme kula Embe kali kwa chumvi na pilipili,hapo kidogo noma..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…