au Keivanti, shujaa hahahahahaha.yani zimekaa za kazi sana. Kama konyagi. Mwanamke akinywa konyagi namshangaa moyoni.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
au Keivanti, shujaa hahahahahaha.yani zimekaa za kazi sana. Kama konyagi. Mwanamke akinywa konyagi namshangaa moyoni.
Mwanamke anatakiwa anywe glass ya wine,ukiitazama Glass ya wine imekuwa design kama umbo na mwanamke,nikimuona mwanamke anakunywa bia hata awe mzuri vipi siwezi kumtongoza wala kumwangalia
Sasa na sisi tunaokunywa pombe kali itakuaje?Mwanamke anatakiwa anywe glass ya wine,ukiitazama Glass ya wine imekuwa design kama umbo na mwanamke,nikimuona mwanamke anakunywa bia hata awe mzuri vipi siwezi kumtongoza wala kumwangalia
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]. Mimi niko kwenye kipindi cha kuachana na Heineken. Shemeji ako mmoja kasema niachane nayo inazidi kunifutua
Siku hizi usafiri wa ungo sio wa uhakika
Vipi kwa anaekula mihogo ya kukaanga na konyagi?[emoji3]Mwanaume kula chips mayai
Kunywa savana/wine ya St. Anna
Mwanaume kupenda/kuimba nyimbo za taarabu
Mwanaume kulipiwa bill na wanaume wenzake mezani.
Nimeona mkaka anakula chips mayai kanipa mawazo sana.
Kama chips mayai wanaume wengi tu wanakulaNdo janja yake...
Wakati mwingine unanunua kitu ili kusapoti biashara za washkaji, tukiwaachie nyie wenyewe biashara zitadoda.
Dah, kumbe red wine ni special kwa kushushia, ngoja niende pale nanihii, nikaangalie ipi itanifaa siku bosi wangu akinikumbuka. One glass sio big deal au sio?Wine za kushushia msosi ni red wine kama Robertson.
Chupa mbili nyingi eeeh? [emoji23]
Angezificha au unahofia nguvu atakuwa hanaAnakulaje chips mayai hadharani sasa
Aisee![emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]. Mwanaume anakula chips yai legelege utegemee kazi ya kukata na shoka nani kasemaa. Ila mtu ale ugali na nyama ya kuchoma unamtamani ghafla tu