AVRAM
JF-Expert Member
- Feb 13, 2017
- 616
- 885
Ubuyu muhimu Beef hufahamu tu kazi yake, nenda kafanya kautafiti kadogo tu itarudi na kumpongeza mme alae ubuyuHuwa nashangaa kuona Mwanaume anakula ubuyu au pipikijiti njiani.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ubuyu muhimu Beef hufahamu tu kazi yake, nenda kafanya kautafiti kadogo tu itarudi na kumpongeza mme alae ubuyuHuwa nashangaa kuona Mwanaume anakula ubuyu au pipikijiti njiani.
Shikamoo kaka [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Haya mimi nasema hivi najitolea kumtomba Miss Natafuta popote alipo.
Maana nimeona atukana humu. Tena gharama zote juu yangu na chochote nitafanya kwa ajili yake aridhike. Akitaka uthibitisho wa niliowahi kuwapitia atapata.
Nimeona katukana vidume humu ila wote kimyaa. Waliomjibu wawili tu. Kulikoni?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kwa niaba ya wanaume wa JF nikiwa mwakilishi toka mikoani tumempitisha kwa kauli moja yaka akatuwakilishe kwenye mpambano wa kurejesha heshima kwa wanaume wa Dar dhidi ya miss natafuta utakaofanyika Utulivu lodge pale Dar.
Mkuu kafungue thread ili mipango na uratibu ufanyike kwa haraka ili tujue wanaume wa Dar... Dudu ni kwa ajili ya kukojolea tu au kurudishia na heshima?
Aione kwanza Miss Natafuta now.
Ninaposomaga maandishi ya miss natafuta hapo ndio huwa Najua kwanini lile vumbi la Congo linaitwa heshima ya ndoa, maana namuona miss ana dharau sana kwa sasa.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Uko vizuri.Kuhusu chips ni chakula kama vyakula vingine. Binafsi nakula chips ila ni chips kavu, huwa nakula kwa hamu tu au nyongeza kabla au baada ya kula na vilevile hakinishibishi. Huwa nakula sahani 2 mpaka 3.
Kuhusu hayo mengine watajibu wanayohusika nayo.
Wanaume mkule vitu vya kina putin kule.Kwani wine ni za wanawake tu? Unless ufanye specifications za wines gani sio masculine, lakini mvinyo unanywewa na jinsia zote.
Kunywa tu Chamdor kiongozi. Ile haina kwere ni kama soda tumimi ni mwanaume nahitaji kujua majina ya wine isiyo kuwa na kilevi yani divai/mvinyo halisi usio tiwa chachu.
kama vipi rejea enzi za Yesu huko watu walipiga divai kama kawa
Marhaba binti mzuri. Nakuomba sana mnisaidie nimpate Miss Natafuta. Tena ningependa show iwe streamed live.Shikamoo kaka [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mkuu mke wa mtu huyo..Marhaba binti mzuri. Nakuomba sana mnisaidie nimpate Miss Natafuta. Tena ningependa show iwe streamed live.
Mimi mambo ya ujinga sitaki. Aje achezee LIBOLO FC. Itakua ni dudu bandika bandua mpaka atapoweza kuelezea kisayansi kupatwa kwa K.
[emoji3][emoji3][emoji16][emoji16][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji3][emoji16][emoji16][emoji16][emoji3][emoji3][emoji16][emoji16][emoji3][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]ndo kusemaaaMwanaume kula chips mayai
Kunywa savana/wine ya St. Anna
Mwanaume kupenda/kuimba nyimbo za taarabu
Mwanaume kulipiwa bill na wanaume wenzake mezani.
Nimeona mkaka anakula chips mayai kanipa mawazo sana.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Na Mimi Nina tabia nisizopenda Kwa wanawake.
Mnafika nae geto mmekaa nae kitandani anauliza unataka kufanya nini? Mimi huwa nawajibu nataka kufua nguo pale kitandani.[emoji23] [emoji23]
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] ndo maanawale wala dona tukifika kwenye mgahawa
like tujuane hapa
Anhaa... ndani ya nini vile?Hahaaaaa akiwa ndani...
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] na sie wa soda je?Kuna bia na bia ujue. Kipindi nakunywa safari moyoni mwangu mwenyewe nilikua naona aibu ila sasa naachaje kuinywa. Nilivyoacha nilishukuru kweli Mungu kuniepusha na aibu ya kunywa safari
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ninaposomaga maandishi ya miss natafuta hapo ndio huwa Najua kwanini lile vumbi la Congo kinaitwa heshima ya ndoa.
Huyu miss anatakiwa apewe heshima ya ndoa akituona awe anatusalimia. Masipooooota! Au transporter.