Tabia gani hupendi au unapenda ukiwa safarini?

Tabia gani hupendi au unapenda ukiwa safarini?

Mimi napenda kukaa na wakaka afu awe mchangamfu kidogo tupige japo stories kidogo safari iwe fupi,kuna safari nilikaa na mkaka tukasalimiana nimekaa gari inaondoka tu nilijiskia vibaya homa hivi, Aisee yule kaka Mungu ambariki. Alinisaidia dawa za maumivu alikua nazo na kila kituo tukishuka alihakikisha ananisubiri niingie kwenye bus nisije kuachwa.nilimuona ni gentleman nikamshukuru.

Sipendi kukaa na wanaoringa sijui, ndiyo introverts kuna dada nilikaa naye picha linaanza mimi nimepandia Ubungo seat ya dirishani, kufika mbele dada kapanda tena hata salamu hamna eti anataka nitoke hiyo ni seat yake, nikamwambia hii ni seat yangu bana, akaanza kusema kaweka booking sijui, konda akaja kumaliza utata, dada akaambiwa hiyo seat no ni seat hiyo nyingine si dirishani akanunaa akakaa , jamani hatujaongeleshana hadi tunafika Mbeya😜 na vile sijazoea nilikoma😂
Hapo ukikutana na mtu fulani anaongea kwako ndio furaha zaidi.
 
Usafiri wa public kwanza napenda kukaa seat ya kwanza upande wa kushoto au seat nyuma ya dereva. Hua sipendi kabisa kulala nikiwa safarini, kwa hio nikikaa hapo huku naangalia mandhari ya mbele in case anything happens kidogo unakuwa aware.
Hua napenda sana yani wakati dereva anaendesha at times anapokua anabadilisha kama gear hivi najikuta automatically miguu yangu kama inakanyaga clutch na kubadili gear [emoji23][emoji1787][emoji1787](i really love this) though sipendi kuendeshwa...natamani mimi mwenyewe ndo nishike usukani nimwage moto barabarani

Sipendi kula asee... hua najiskia vibaya sana. Naeza safiri for 12 hours bila kula kitu. Mostly nachoeza kula ni kitu kikavu sana kama mahindi ya kuchoma. Hivo tu, nachukia watu wanaokula kwenye gari mostly vyakula ambavo vinakua na harufu mbaya kama mayai vile...dadeki. hua namind kinoma.

Kuongea ongea nikiwa kwenye basi thats not my thing, hua nachill tu nafocus mbele niangalie magari yanayokuja, nione overtaking anavozifanya dereva (akikosea najisemea huyu jamaa matako kweli, ila akienda kama mimi akilini mwangu ninavowaza jinsi ambavo ningefanya hiyo maneuvre ndo namuona kumbe ana akili)

Always napenda kukaa dirishani...ndo maana napendelea seat ya kwanza kushoto.

Sipendi gari iwashwe AC the whole way...napenda always madirisha yawe open mnakula kitu natural kutoka kwa Mungu.
 
Usafiri wa public kwanza napenda kukaa seat ya kwanza upande wa kushoto au seat nyuma ya dereva. Hua sipendi kabisa kulala nikiwa safarini, kwa hio nikikaa hapo huku naangalia mandhari ya mbele in case anything happens kidogo unakuwa aware.
Hua napenda sana yani wakati dereva anaendesha at times anapokua anabadilisha kama gear hivi najikuta automatically miguu yangu kama inakanyaga clutch na kubadili gear [emoji23][emoji1787][emoji1787](i really love this) though sipendi kuendeshwa...natamani mimi mwenyewe ndo nishike usukani nimwage moto barabarani

Sipendi kula asee... hua najiskia vibaya sana. Naeza safiri for 12 hours bila kula kitu. Mostly nachoeza kula ni kitu kikavu sana kama mahindi ya kuchoma. Hivo tu, nachukia watu wanaokula kwenye gari mostly vyakula ambavo vinakua na harufu mbaya kama mayai vile...dadeki. hua namind kinoma.

Kuongea ongea nikiwa kwenye basi thats not my thing, hua nachill tu nafocus mbele niangalie magari yanayokuja, nione overtaking anavozifanya dereva (akikosea najisemea huyu jamaa matako kweli, ila akienda kama mimi akilini mwangu ninavowaza jinsi ambavo ningefanya hiyo maneuvre ndo namuona kumbe ana akili)

Always napenda kukaa dirishani...ndo maana napendelea seat ya kwanza kushoto.

Sipendi gari iwashwe AC the whole way...napenda always madirisha yawe open mnakula kitu natural kutoka kwa Mungu.
Kweli hapo imekaa vizuri sana
 
Napenda kukaa dirishani siku zote nakata siti za dirishani na nna tabia ya kuzurumu watu siti za dirishani.niki kuta mtu kakaa kweny siti yangu nta hakikisha namuomba kistaarabu aki kataa tasubiri ule wakati wa kukojoa akishuka nakaa



Offline
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Sometimes ukizitafuta utazipata nyodo zao just try to be calm stay with your things nae astay na vyake.. mi kinachonikera ni kukuta makelele huwa napenda nikisafiri nisafiri na kitabu nijisomee Sasa utakuta wameweka mi muvi ya ajabu ajabu tu!!.. unaenda kwenye gari unawaza ukae na binti mzuri umsemeshe badala ujiwazie wewe utajifanyia nini!!.

Wengine hujikuta tena wanafanya ambayo hawakutaka kufanya labda anajikuta ananunua michakula tu ili kumridhisha binti mara tumbo linaanza kuvuruga..[emoji1787]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kuna wengine juzi nimepanda nao mwendokasi,,dah kuna mmoja alikuwa ananipayukia sikioni nilitamani hata nimnase kibao.

Kuna watu ni hovyo kabisa, Yaani utadhani gari lote lao.
Halafu sasa watu wote wakageuza macho kuwashangaa,hata hayashtuki halafu ni pumba tu wanaongea..mmoja yupo kipande cha mbele cha mwendokasi, mwingine yupo cha nyuma baada ya yale maungio.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Me napenda nikae seat ya nikae na mkaka HB flani hivi[emoji847][emoji847][emoji23] asiwe mkimya saana cause napenda polojo hatari asiwe na simu nzuri kunizidi na simu yake isiwe inaita mara KWA mara[emoji57][emoji57] na asiwe mweupe cause nyodo sipendi na awe anajali hata kama HATUJUANI ntaenjoy KWA mda tu [emoji4][emoji4][emoji4][emoji4]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom