x - mas
JF-Expert Member
- Oct 5, 2012
- 931
- 612
Amani iwe nanyi wanajamii forum,kuna rafiki yangu ana tabia ambayo may be isnt good that's anapenda kujamba ovyo hata mbele za watu bila aibu unakuta ndo ile mpo na watu wa heshma hafu ye ana have shuta like fyuuuuuu yani kimya kimya ila harufu yake ucpime then pipo wanajikaza kisopu huku kama wakihemea juu juu,sometyms mnakuwa ghetto hafu ngoma fuluni playing from radio ile mzuka unawapanda mnaanza kuyarudi mangoma ghafla mbruuuu plus harufu dah!hata kama nyimbo ni mpya inachuja hapo hapo raia wanacepa kwanza harufu idefuse ndo waback inside.Asking u pliiz,iz he right?