Tabia hizi hazifai kwa mtoto wa kiume

Tanga mnamshughulikia ipasavyo?Fafanua.
 
Mtu kutembea peku, kula boflo, embe, mshikaki chungwa huku anatembea wala sio kesi na hamna mtu mwenye habari na wewe kila mtu anawaza maisha yake

Kma umenunua njian basi tafuta sehemu ukae ukule vizuri
 
[emoji849]muda mwingine pirika nyingi unajikuta huna budi kula huku unatembea
 
Kma umenunua njian basi tafuta sehemu ukae ukule vizuri
Huo ndio ustaarabu kutokana na mahali umetokea and widely accepted by many. Ingawa pia natambua kila jamii ina ustaarabu wake hata huko Zanzibar sio sehemu zote ipo hivyo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…