EINSTEIN112
JF-Expert Member
- Oct 26, 2018
- 21,711
- 35,644
Tabia ya wanawake kuwaita wenzao Baby, mpenzi, sweetheart, Luv****
Waacheni wafarijiane.. waoaji ndiyo hawapo.
Sasa yale majina walikuwa wamepanga kuwaita waume zao yamekwama wafanyaje sasa[emoji2371][emoji2371][emoji2371]
******************** *******************
Ni kama sisi huku wasomi mitaani tumekuwa wengi halafu ajira empty.
Tunaanza kuitana >>
Boss, Afsa, Kamanda, Kiongozi, Mkuu, Jembe, Chief, Mkurugenzi nk.[emoji28][emoji28]
Wahenga walisema ukikosa ukipendacho basi penda ulichonacho.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji125][emoji125][emoji125]
Sent using Jamii Forums mobile app
Waacheni wafarijiane.. waoaji ndiyo hawapo.
Sasa yale majina walikuwa wamepanga kuwaita waume zao yamekwama wafanyaje sasa[emoji2371][emoji2371][emoji2371]
******************** *******************
Ni kama sisi huku wasomi mitaani tumekuwa wengi halafu ajira empty.
Tunaanza kuitana >>
Boss, Afsa, Kamanda, Kiongozi, Mkuu, Jembe, Chief, Mkurugenzi nk.[emoji28][emoji28]
Wahenga walisema ukikosa ukipendacho basi penda ulichonacho.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji125][emoji125][emoji125]
Sent using Jamii Forums mobile app