Tabia kuitana majina mbadala tunapokosa fursa

Tabia kuitana majina mbadala tunapokosa fursa

Tabia ya wanawake kuwaita wenzao Baby, mpenzi, sweetheart****

Waacheni wafarijiane.. waoaji ndiyo hawapo.
Sasa yale majina walikuwa wamepanga kuwaita waume zao yamekwama wafanyaje sasa[emoji2371][emoji2371][emoji2371]

******************** *******************
Ni kama sisi huku wasomi mitaani tumekuwa wengi halafu ajira empty.

Tunaanza kuitana >>
Boss, Afsa, Kamanda, Kiongozi, Mkuu nk.[emoji28][emoji28]


Wahenga walisema ukikosa ukipendacho basi penda ulichonacho.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji125][emoji125][emoji125]

Sent using Jamii Forums mobile app
Hapa umenena Kiongozi.

Kudos[emoji106][emoji16][emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tabia ya wanawake kuwaita wenzao Baby, mpenzi, sweetheart****

Waacheni wafarijiane.. waoaji ndiyo hawapo.
Sasa yale majina walikuwa wamepanga kuwaita waume zao yamekwama wafanyaje sasa[emoji2371][emoji2371][emoji2371]

******************** *******************
Ni kama sisi huku wasomi mitaani tumekuwa wengi halafu ajira empty.

Tunaanza kuitana >>
Boss, Afsa, Kamanda, Kiongozi, Mkuu nk.[emoji28][emoji28]


Wahenga walisema ukikosa ukipendacho basi penda ulichonacho.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji125][emoji125][emoji125]

Sent using Jamii Forums mobile app
tajiri[emoji16][emoji16][emoji16]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom