Joanah
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 22,527
- 79,976
Umeniblock siwezi kukutag tena[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]umeniweza @Joanah
Sent using Jamii Forums mobile app
Sema hujui kutag,JF kuna block?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umeniblock siwezi kukutag tena[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]umeniweza @Joanah
Sent using Jamii Forums mobile app
Sema hujui kutag,JF kuna block?
Sema hujui kutag,JF kuna block?
Sema hujui kutag,JF kuna block?
Mkuu hivi unajua Nyete amekuja na ID mpya?? Beware aisee[emoji23][emoji23][emoji23]kenge wewe imekubali kisura chenyewe sasa kama cha panya @joanah
Sent using Jamii Forums mobile app
Cc Nyete[emoji23][emoji23][emoji23]kenge wewe imekubali kisura chenyewe sasa kama cha panya @joanah
Sent using Jamii Forums mobile app
huyu sweet and amazing lady we unamwita majina ya ajabu ajabu!! show some respect tafadhali
Umri utakuwa unakusumbua tu huna lolote, maisha ya watu yanakuhusu nini kwani umefungiwa jf lofOff ujizidiwa..Jaman wazima humu
Hakuna sehemu wanaume wanajifanya wajuaji wakila aina ya kitu kama humu ndani
Ujuaji,majivuno yaani wanaume wa humu hakuna kitu kabisa kila aina ya kitu wanaijua wanawake wenye makalio wenyewe,weusi wenyewe,sijui nini wasichokijua
Kuwasema wanawake wenyewe,kujifanya wanamipesa wenyewe yaani tabu tupu nauhakika wengi madomo zege na masikini wavipato wachache sana wanakula milo mitatu
Hakuna wanaume humu wengi ni wahitimu wa vyuo wanasota kutafuta ajira kutwa masimango yasiyo na msingi kwa serikali umbea umbea tu umewajaa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kama kimekuuma pasuka
Nilisahau kutwa kuwasimanga ma single mama yaani umasikini wamawazo mbona sijawahi kumuona mzee Asprin na Mshana Jr akitoa upuuzi upuuzi mkue humu tutakua tunawakimbia
Tukiwahoji huku mtaani tukisikia mnatumia jf
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu hivi unajua Nyete amekuja na ID mpya?? Beware aisee
huyu sweet and amazing lady we unamwita majina ya ajabu ajabu!! show some respect tafadhali
😂😂😂😂umenitengua mbavuNisameeni wakuu
Ngoja niwaeleze ni hivi huyu Dada nilikuwa nachat nae humu tukaamia wasap akanirushia picha kweli alikuwa mkali
Tukapanga tuonane looh kikaja kituko kumbe sio yeye lakini nilijikaza tukala tukanywa tukaamia guest usiku nikamkimbia sikumpa kitu maana kwa nini anidanganye
Sent using Jamii Forums mobile app