Basi Nenda
JF-Expert Member
- Jul 29, 2017
- 20,774
- 47,866
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna majina ukijiita una attract attention fulani, mfano wewe nilivyoona jina hilo nikacheki profile niliona kabisa uko mule mule.
Sasa kuna baadhi ya Miss ..., Cute nini sijui, na mengine mazuri mazuri, ukisema uingie field unakuta vitu tofauti.
Anyway, ndo JF
Don Cle hizo IDs si halisia ila naamini kuna zinazoreflect uhalisia wa mtu, mfano hizo zenye majina mazuri mazuri,inawezakua kweli ni wazuri kama I'd zao ujue hautaamini.
Mi I'd yangu ngumu sijui nakumbuka mwanzo nilikua naulizwa we ni "ke or me" [emoji3]
Sent using Jamii Forums mobile app
Asa kwanini inaitwa ndogo akati inatoa haja kubwa?
[emoji30][emoji30][emoji30][emoji30]Ambacho hukijui hao wawili uliowaainisha hapo juu ndio MAKAPTENI WETU narudia tena NDIO MAKAPTENI WETU over.
Hivi kumbe ndio huyu?loh!masikini nilishasahau ile ID
Ile siku aliniita kenge nilikuwa na bad mood nikamjibu [emoji867][emoji867] eti
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji30]
Jr[emoji769]
Slay queen kwani vipi aiseee??? Kumetokea nini??Naunga mkono hoja kweli ,wengi humu watembeza bahasha tu kila ofisi halafu wanajifanya wamefanikiwa wanaleta maisha ya chuo looooooo badirikeni
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
Ahahahah..unamuhesabia tu!!!???Unanionea sana,hujui tu
Ile siku umeniita kenge,leo bata 😔😔
Ahahahah..unamuhesabia tu!!!???
[emoji23][emoji23]makubaliano nikikutukana nikutag ila kwenye kutag ulichonifanya shetani anakuona wee kenge ="Joanah, post: 34751750, member: 380996"]Sent using Jamii Forums mobile app
Hivi kumbe ndio huyu?loh!masikini nilishasahau ile ID
Ile siku aliniita kenge nilikuwa na bad mood nikamjibu [emoji867][emoji867] eti
Duuh wamekufanya nini dada mpaka unamwaga povu hivi?
Unaweza kuona mtu domo zege kumbe wewe ndio huna mvuto..[emoji2]
Kiazi mbatata?😂😂😂😂😂[emoji23][emoji23][emoji23]ko inabidi ukapigwe ban wee kiazi mbatata
Sent using Jamii Forums mobile app
Huyo "boya" akija naomba kuinunua hiyo kesi