Tabia mbaya na za kizamani za wanaume wa JF

Tabia mbaya na za kizamani za wanaume wa JF

Mimi nimekuelewa, back then nilikuwa naweza kuwa na utani wa kuitana majina ya kenge, mbwa, fisi nk nk nk.

Siku hizi nikiona watu wanaitana au kutaniana hivyo naona wa ajabu, hapo ndiyo naona kwamba uzee umeshanianza.

Kwa hiyo najikuta tu kuepukana na hizo adha natupa kwenye ignore list.

Huwezi amini list yangu imejaa watu ambao hata wengine sikumbuki kwa nini niliwatupia huko.

Uzee?hahahah kwani una miaka mingapi Don Clericuzio ?

Nitakufundisha urudi kama zamani.....taking some things easy
 
Duuh,dada"Nani kakutapeli jamani
Jaman wazima humu
Hakuna sehemu wanaume wanajifanya wajuaji wakila aina ya kitu kama humu ndani

Ujuaji,majivuno yaani wanaume wa humu hakuna kitu kabisa kila aina ya kitu wanaijua wanawake wenye makalio wenyewe,weusi wenyewe,sijui nini wasichokijua

Kuwasema wanawake wenyewe,kujifanya wanamipesa wenyewe yaani tabu tupu nauhakika wengi madomo zege na masikini wavipato wachache sana wanakula milo mitatu

Hakuna wanaume humu wengi ni wahitimu wa vyuo wanasota kutafuta ajira kutwa masimango yasiyo na msingi kwa serikali umbea umbea tu umewajaa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kama kimekuuma pasuka
Nilisahau kutwa kuwasimanga ma single mama yaani umasikini wamawazo mbona sijawahi kumuona mzee Asprin na Mshana Jr akitoa upuuzi upuuzi mkue humu tutakua tunawakimbia
Tukiwahoji huku mtaani tukisikia mnatumia jf

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Uzee siyo miaka, nafikiri ni ile hali ya kuchukulia vitu simple serious.

Huwa najitahidi sana lakini linapokuja swala la kupishana lugha naona nipishe tu. Ila kama ni kwa kupeana ufafanuzi nakuwa niko okay.

Uzee unaenda na miaka

Pole,hebu na mie nijitahidi kukuelewa
 
Back
Top Bottom