Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hivi kumbe ndio huyu?loh!masikini nilishasahau ile ID
Ile siku aliniita kenge nilikuwa na bad mood nikamjibu 🖕🖕 eti
hahahaaaaa ujumbe umefika muungwana, yote heri.Jaman wazima humu
Hakuna sehemu wanaume wanajifanya wajuaji wakila aina ya kitu kama humu ndani
Ujuaji,majivuno yaani wanaume wa humu hakuna kitu kabisa kila aina ya kitu wanaijua wanawake wenye makalio wenyewe,weusi wenyewe,sijui nini wasichokijua
Kuwasema wanawake wenyewe,kujifanya wanamipesa wenyewe yaani tabu tupu nauhakika wengi madomo zege na masikini wavipato wachache sana wanakula milo mitatu
Hakuna wanaume humu wengi ni wahitimu wa vyuo wanasota kutafuta ajira kutwa masimango yasiyo na msingi kwa serikali umbea umbea tu umewajaa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kama kimekuuma pasuka
Nilisahau kutwa kuwasimanga ma single mama yaani umasikini wamawazo mbona sijawahi kumuona mzee Asprin na Mshana Jr akitoa upuuzi upuuzi mkue humu tutakua tunawakimbia
Tukiwahoji huku mtaani tukisikia mnatumia jf
Sent using Jamii Forums mobile app
Huyo "boya" akija naomba kuinunua hiyo kesi
Huyo "boya" akija naomba kuinunua hiyo kesi
Unampa sifa asizostahili, ungemweka kwenye karantini ya ignore ukaachana naye.
Huyu kweli sikuwahi kuona kanitukana kama alivyosema kwenye huu uzi....sikumbuki
Ansante sana baba @mshana jr - JamiiForums
Hata hivyo mtu kunitukana humu huwa sio sababu ya kumpeleka karantini ya ignore,mara nyingi siboreki na mtu anayenitukana....naboreka na the way mtu anaact hadi nikaboreka(sijui hata kama nimeeleweka)
[emoji3][emoji3]kumbe ukiwa huna mvuto, unafanya mwingine awe domo zege, aah ndyo maana huku mtaani naona wote madomo zege tu,kumbe sababu ni mimi mwenyewe [emoji3][emoji3] thank you I learned somesingii.Duuh wamekufanya nini dada mpaka unamwaga povu hivi?
Unaweza kuona mtu domo zege kumbe wewe ndio huna mvuto..[emoji2]
Nimekuelewa, ila sijakuelewa pia.
Nafikiri ili kujipunguzia adha acha mimi nimu-ignore.
Nyie mtajuana.
[emoji3][emoji3]kumbe ukiwa huna mvuto, unafanya mwingine awe domo zege, aah ndyo maana huku mtaani naona wote madomo zege tu,kumbe sababu ni mimi mwenyewe [emoji3][emoji3] thank you I learned somesingii.
Sent using Jamii Forums mobile app
Wanawake wanamitego, wanaume tuna mbinu. Enjoy the show!
Mfano unakumbuka yule niliyekua nakuelezea?yule hajawahi kunitukana sehemu yoyote,ni the way anaact huku jukwaani.....anakera,anaboa imenipelekea tu kumuweka kwenye ignore list...kama hivyo
Kwa hiyo ulikuja humu kutafuta mume? Umepoteza majira wewe!!Jaman wazima humu
Hakuna sehemu wanaume wanajifanya wajuaji wakila aina ya kitu kama humu ndani
Ujuaji,majivuno yaani wanaume wa humu hakuna kitu kabisa kila aina ya kitu wanaijua wanawake wenye makalio wenyewe,weusi wenyewe,sijui nini wasichokijua
Kuwasema wanawake wenyewe,kujifanya wanamipesa wenyewe yaani tabu tupu nauhakika wengi madomo zege na masikini wavipato wachache sana wanakula milo mitatu
Hakuna wanaume humu wengi ni wahitimu wa vyuo wanasota kutafuta ajira kutwa masimango yasiyo na msingi kwa serikali umbea umbea tu umewajaa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kama kimekuuma pasuka
Nilisahau kutwa kuwasimanga ma single mama yaani umasikini wamawazo mbona sijawahi kumuona mzee Asprin na Mshana Jr akitoa upuuzi upuuzi mkue humu tutakua tunawakimbia
Tukiwahoji huku mtaani tukisikia mnatumia jf
Sent using Jamii Forums mobile app
Nimemwelewa mkuu, na ndyo nnachokiexperience huku mtaani, kumbe ni hii sura mbovu[emoji17]Point ya troublemaker hapo ni kwamba unaweza kuona kwamba wanashindwa kukutongoza ukadhani ni madomo zege.
Kumbe hujawavutia walengwa.
Nimemwelewa mkuu, na ndyo nnachokiexperience huku mtaani, kumbe ni hii sura mbovu[emoji17]
Sent using Jamii Forums mobile app