Sasa new id inaandikaje mambo ya wakongwe.. Sema safiSio mgeni huyo new id tu, kikongwe cha 2012 huko
Achna nao dada uumu wajuaji wengi af wanafiki kinoma ndio maana nimeshangaa mbona umefunga pm na huna baya na mtuNooo,easy y'bro... sema kamada kamenifanya nifunguke kidogo
Yeah...🙏🙏🙏Achna nao dada uumu wajuaji wengi af wanafiki kinoma ndio maana nimeshangaa mbona umefunga pm na huna baya na mtu
Ndo maana nimekuja na hii id kwa malengo maalum🤣🤣🤣🤣🙌
🤣🤣🤣🤣🙌Ndo maana nimekuja na hii id kwa malengo maalum
Sasa watu wanadanga wazi wazi na ushahidi upo niwaache hivi hivi
Weeeeh patavurugika hapa,
Mpaka wakae kwa adabu, tu
Potezea maisha yaendeleeYeah...🙏🙏🙏
Huu mchezo usiucheze 😉😉Sasa new id inaandikaje mambo ya wakongwe.. Sema safi
🤣🤣🤣🤭Hatimaye PM nako kumefikiwa.
Kitambo mbona,🙏🙏🙏Potezea maisha yaendelee
tulia dogo la jf😂Achna nao dada uumu wajuaji wengi af wanafiki kinoma ndio maana nimeshangaa mbona umefunga pm na huna baya na mtu
Huo ukubwa wewe umeupata linitulia dogo la jf😂
kidevu kimechafuka😂Huo ukubwa wewe umeupata lini
Na kamaliza chuo yudizim mwaka janaHata mimi sijaelewa na alo andika ni mgeni dah
🤣🤣🤣🤣🙌kidevu kimechafuka😂
Unanizoea siotulia dogo la jf😂
🤔Hi
Tabia mbovu mtu unaona watu wanacheka vizuri kisa wewe mlipishana kauli una amua kwenda kupandikiza chuki achukiwe sawa atachukiwa baada ya hapo? Acha kwenda pm kwa watu kuongea umbea ili achukiwe mambo kama hayakuhusu achana nayo kabisa
finya ukuta😂Unanizoea sio
Kama kawaida umetoa pole 😅😅😅Polesana