Tabia mbovu

Ndo maana nimekuja na hii id kwa malengo maalum

Sasa watu wanadanga wazi wazi na ushahidi upo niwaache hivi hivi

Weeeeh patavurugika hapa,

Mpaka wakae kwa adabu, tu
🤣🤣🤣🤣🙌
 
Hi
Tabia mbovu mtu unaona watu wanacheka vizuri kisa wewe mlipishana kauli una amua kwenda kupandikiza chuki achukiwe sawa atachukiwa baada ya hapo? Acha kwenda pm kwa watu kuongea umbea ili achukiwe mambo kama hayakuhusu achana nayo kabisa
🤔
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…