Tabia nilizozishuhudia kwa baadhi ya wanaume wa Dar


Angalia bolded lines
 
Huyu kakosa kazi tu unauza vocha za Tigo nn maana kuangalia wateja haraf was kiume tu unananiiiiiiiiiiii we.............we.
 
Huyu kakosa kazi tu unauza vocha za Tigo nn maana kuangalia wateja haraf was kiume tu unananiiiiiiiiiiii we.............we.


Lord have mercy
 
Kuna kaukweli ka mbaali hivi eti ?
Kuna siku nshamuona mwanaume amelegea ka'mpira uliyomaliziwa matumizi ! Very shame !
 
Kuna kaukweli ka mbaali hivi eti ?
Kuna siku nshamuona mwanaume amelegea ka'mpira uliyomaliziwa matumizi ! Very shame !

ahahahaha shemejiii kuna sisi ambao tunaamini ukimwi mpaka ulogwe. mpira ulokwisha tumika huwa unakuaje!??
cc: Tyta
 
Last edited by a moderator:
aaaa wanaume wa dar mpo?
 
Sa kama wa Dar mko hivyo sa wa kule kwetu wa bonyeeeeeee mdebwedoooo si ndo balaaa!!!!
 
Hahaha hebu acha ugomvi. Ukianza kusema wanawake wa dar na matumbo kama mimba tutakutolea dirishani nakuambia
 
mkuu usipoteze mda wako na mipumbafu
watu wanawaza kula...wanatafuta kula analeta uzumbekuku hapa fyuuuuuuuu
 
Lord have mercy
akuhurumie wewe ulo kosa na kuja kudhalilisha wanaume wenzio ulugaluga wa kishomondu huko unauleta dar watoto wa mjini wale angalie usije jiunga na kabang mix
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…