Tabia nilizozishuhudia kwa baadhi ya wanaume wa Dar

Tabia nilizozishuhudia kwa baadhi ya wanaume wa Dar

Wanaume wa dar ni wasomi bana wanatumia muda wao ipasavyo kuchambua mambo mbalimbali kwa kina kama ishu za kina mondi na wengineo sio.nyie wa bara kutwa maporini na kuishia kwenye vijumba vya udongo na shule kukimbia maana zimewashinda
 
Tatizo wanaume wa dar huwezi kuwatofautisha na dada zao majungu kazi hamna kula kwenyewe chipsi kupaka powder na kujikoboa kama sembe kucha wanapaka hina sasa hao wanaume au ndo kama nay wa mitego alivyosema ni makaka poa ila msiniporomoshee matusi wanaume tuko mwanza
kumbe na wewe mwanaume .......MBNA mipasho sasa
 
Wanaume wa Dar
-wanakatwa kucha na wauza urembo
-wanapaka shine kwenye kucha
-wanatumia lotion ma scrub
-wanatumia manukato na marashi ya kike
-wanaenda taarab
Wanatinda nyusi
-wanakunywa redds na st. Anne
-wanajipodoa
-wanavaa hereni
-wanasutana
-wana.........[emoji85] [emoji85] [emoji85] [emoji134] [emoji134] [emoji134] [emoji87] [emoji87] [emoji87]
Wanaume wa dar wanapenda kuteleza balaa
 
Nyie wa Mikoani si ndo mnalalamika wake zenu/watoto na ndugu wakija Dar wanarud na Mimba,kama si mimba basi wanawadharau,nyie mnajua tunachowapa au ndo wivu tu
 
Hi,

Kubali ukatae ila wanaume wa Dar wako smart sana, wanajua kuvaa vizuri, wanaenda na fashion.

Katika pita pita mitaa kwa mitaa niliyopita wanaume wengi wanatupia pamba kali.

Sasa waliopo maofisini ndio usiseme yani wanatokelezea sana.Hakika wanaume wa Dar mnajua kutupia.

Hongereni wanaume wa Dar
 
Sasa kuna faida gani unapiga pamba kali halafu kitandani hamna kitu.
 
Hi,

Kubali ukatae ila wanaume wa Dar wako smart sana, wanajua kuvaa vizuri, wanaenda na fashion.

Katika pita pita mitaa kwa mitaa niliyopita wanaume wengi wanatupia pamba kali.

Sasa waliopo maofisini ndio usiseme yani wanatokelezea sana.Hakika wanaume wa Dar mnajua kutupia.

Hongereni wanaume wa Dar
Wewe ni mwanamke au mwanaume?
Aisee kuna thread ya kipindupindu cha tanga kule..
 
Back
Top Bottom