Tabia nilizozishuhudia kwa baadhi ya wanaume wa Dar

Sasa mbona unatukana jamaa? Humu matusi hayaruhusiwi! Nazjaz pitia hapa COET cafeteria tupige supu!
 
Wanaume wa dar wakiona mende kwenye kabati wanapiga yowe wa mikoani wakion nyoka na simba wanapambana nao

Wanaume wa dar wanajipaka poda na kutoboa pua wanaume wa mkoani wanatafuta pesa

Wanaume wa dar wengi wanapenda slope wanaume wa mkoani hawapendi slope

ONGEZA NYINGINE
 
wanaume wa Dar ndiyo wanasifika kununua dawa za kuongeza nguvu za kiume

wanaume wa Dar wakikojoa kimoja kwisha

wanaume wa Dar wanapenda kulelewa na madem
wanaume wa Dar wanaogopa panda round

wanaume wa Dar watakula mahindi ya kuchoma na pili pil

wanaume wa Dar wa nakunywa supu ya pweza kuongeza nguvu za kiume

Wanaume wa Dar kutongoza kwao kingereza kingi broken

ongeza na sifa nyingine
 
Wanaume Wa dar tunachelewa kuoa hilo ujaliona kuliko wamikoan uku tukizid kuzeeka taratibu na maisha yetu magumu aisee dar bwana ni sheeda
 
umeandika nini sasa. baki huko huko kakonko ya dar huyawezi
 
duuuu nimecheeeeka kweli kweli asubuhi ya leo hivi vimaneno jamani vinavitowaga wapi nyie watu????? khaaa
 
Huu mpambano wa wanaume wa dar na wa mikoani ni ujinga mtupu
 
Wewe nae ni mwanaume Wa dar au mwanamke Wa dar maana hizo sifa umezijua wewe kama ni mwanaume Wa dar bora niendelee kulima dar sirudi tena
Baki tu huko huko mkuu,huku inahitajika akili nyingi competition kubwa.
 
1: wanaume wa dar hushinda kwenye vioo wanaume wa mikoani hushinda shambani

2: wanaume wa dar waoga sana wanume wa mikoani majasiri

3: wanaume wa dar wanainflate status zao kwa vitu vya kuazima wanaume wa mikoani wanajikubali

4: wanaume wa dar wanalizwa sana na mapenzi wanaume wa mikoani wanalizwa na kazi

5: wanaume wa dar hula chips kama.......wanaume wa mikoani hula vyakula vya kiume.

6: waume wa dar maisha yao ni ya kuiga na kukariri wanaume wa mikoani ni wabunifu

ntarudi baaaaadae
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…