Idiot Embicile
JF-Expert Member
- Apr 30, 2019
- 1,037
- 1,974
bila sababu za msingi
daaah iyo nayo tabia yangu ila nmeshindwa kusema,,, wife ataon humuπππ"Kumoka" inabidi niombewe tu jamani naipenda hii kitu
Kununa kwasababu maalum
Ata kwa kitu kidogobila sababu za msingi
Umewezaje kuishi bila mkeo kujua kama unatumia kitudaaah iyo nayo tabia yangu ila nmeshindwa kusema,,, wife ataon humu[emoji23][emoji23][emoji23]
Clit Rubbing....hii mada inahusu hata wanandoa?
Kwa mfano nikikwaza pakubwa siwezi kujichekesha kinafikikama sababu zipi??
πππKufanya masihara hata kwenye mambo ya msingi.Ukichukia mimi nacheka.
okeeeyKwa mfano nikikwaza pakubwa siwezi kujichekesha kinafiki
na unalewa sanaππKukopa bia Kwa mama Kagoma siachi bora aniue tuu.
ππππsema tu kwa kiswahili unapiga punyeto ya kike
ahsante.
daah natumia mbinu nyingi mnoUmewezaje kuishi bila mkeo kujua kama unatumia kitu